Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,179
- 37,475
Mbwa koko wahed.Nyumbu mkimfunga Brentford leo mniite mbwa niko paleee👉👉👉
Mbwa koko wahed.Nyumbu mkimfunga Brentford leo mniite mbwa niko paleee👉👉👉
HIVIViungo wa boli wanarudi, sasa top 4 uhakika. Kuhusu suala la treble hilo ni lazima, medali za mshindi wa kwanza FA Cup & Europa League zinarudi Old Trafford.
Niletee Harry Kane.
View attachment 2578663
Hivi kiwango cha Bruno Kimeshuka au ni mtazamo wangu tu mechi km ya nne namfuatilia huwa anapoteza mipira mingi sana tena kirahisi sana au ndio amechuka wajuzi nipeni manenoMbwa koko wahed.
Subiri mpinzani, mlitabiri kuwa bigwa mwaka huu ni Chelsea!Nyumbu msijiliwaze......big 4 hamuingii timu lenu bovu
Kimeshuka hili halina mjadala..HIVI
Hivi kiwango cha Bruno Kimeshuka au ni mtazamo wangu tu mechi km ya nne namfuatilia huwa anapoteza mipira mingi sana tena kirahisi sana au ndio amechuka wajuzi nipeni maneno
Hakuwahi kukaa benchi,what do you expectKimeshuka hili halina mjadala..
Jana alikuwa anafanya maamuzi ya kijinga jinga sana..but work rate yake hatupaswi kuipuuza.
Mental Manchester.Taito contender View attachment 2579656
Welcome back Eriksen..Ten Hag confirms that Christan Eriksen will be in the squad to face Everton.