Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio mechi ya Arsenyo tu peke yake, angalia hata mechi na Newcastle mara baada ya Antony kutolewa walitufanyaje?
Antony pamoja na vile viujingaujinga vyake anavyofanya ambavyo hata mimi hua vinanikera especially pale ambapo timu bado inahitaji kupata magoli ili kujihakikishia point 3 muhimu, ila huyu dogo bado ni muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu.
Nina ninatumaini makubwa sana msimu ujao atakichafua kwelikweli na atakua anaimbwa na kila shabiki wa Epl.
Bei ya Antony ni 12 pauni
 
Kikosi cha leo. Kiungo ni kile kile 'Sabtizer & Tominay" kule nje yuko Fred amechomeshwa benchi mechi 3 sasa na zote tumecheza kwa tabu sanaaa, nilitegemea ataanza leo. Baadae nadhani Erickson nae ataingia kupasha.
Wan Bissaka yuko ndani, Malacia badala ya majeruhi Shaw.
Ngoja tuone tunavyokimbizwa kushoto (yuko Sancho na Malacia)
We na uyo Fred wako, daily Fred this Fred that, mchezaji mwenyewe ni average player unatupigia kelele tu.
 
Sio mechi ya Arsenyo tu peke yake, angalia hata mechi na Newcastle mara baada ya Antony kutolewa walitufanyaje?
Antony pamoja na vile viujingaujinga vyake anavyofanya ambavyo hata mimi hua vinanikera especially pale ambapo timu bado inahitaji kupata magoli ili kujihakikishia point 3 muhimu, ila huyu dogo bado ni muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu.
Nina ninatumaini makubwa sana msimu ujao atakichafua kwelikweli na atakua anaimbwa na kila shabiki wa Epl.
Wakati cr7 anachopukia pale utd mashabiki wengi wa Ass'anal walikuwa wanamchukia sana na kusema anakimbia kimbia hovyo, lkn miaka michache iliyofuata walikaa kmy, so ukiona adui anakuchukia juwa kwamba upo vzr ila ukiona anakusifia inapaswa ujiulize umekosea wapi.
 
Anthony Martial in 30 minutes vs. Everton:

94% pass accuracy
21 touches
15 passes completed
1/1 long balls completed
1 foul won
1 key pass
1 goal

Ice-cold AM9 is back. 🫡

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2581176
Hamna mchezaji humu, man u inafuga sn majibwa ndiyo maana timu inayumba sn, mchezaji kama huyu hata bunley hapati namba lkn man u anacheza na analipwa mshahara mkubwa sana.
 
Sema Huyu Halaand Hana Adabu Ameamua Kabisa Kushindana Na Club Badala Ya Wachezaj Wenzake.

Halaand_30
Chelsea_Magoli -2
Manchester United_Magoli 7
 

Orkun Kökçü - feyenord​

1681034083472.png

Yule muandishi tier 1 kwa habari za feyenord anasema man utd wanamnyemelea huyu bwana

 
Back
Top Bottom