Rashford ana Goli 15 sijui EPLRashford je?
Wamewadharau manjesta hawa EvertonEverton high line hawaiwezi, high line inahitaji belief.
Rash hajakosa??Huyu Anthony 2big chances kakosa
Halafu eti €100m
Tukisema mmepigwa mnakasirika
Sure..Pickford mtu sana.Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Binafsi naonaga kama huweki pressure ya kutosha atleast uwe na aggressive offside trap itapunguza matatizo, ni goalie anawaweka mchezoni vinginevyo ingekuwa aibu.Wamewadharau manjesta hawa Everton
High line + minimal pressure on the ball = recipe for disaster.
I’ve got no idea what Everton are doing here.
Siku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Yule ni kipa na nusu aisee hata kwa city kamasi ziliwato walitoa draw ya 1-1,Arsenal ndo akakandwa kabsaa na hawana historia ya kupigwa goli nyingi mfano 4Sure..Pickford mtu sana.
Striker.Sijui ni kwanini ubao hausomi 5 bila hadi sasa hivi..i really don't know.
Bila Quality yakutosha ukicheza huo mpira unakuwa matatizon, ndicho naaona kinawatokea Liverpool ,wanafanya pressing, high line , lakin MF imechoka ,Binafsi naonaga kama huweki pressure ya kutosha atleast uwe na aggressive offside trap itapunguza matatizo, ni goalie anawaweka mchezoni vinginevyo ingekuwa aibu.
Wewe waga ni mpuuzi tu subr game yako kesho upigwe uende kutulia kwenye Uzi wako kwasababu huna unachojua kuhusu mpira na nikukumbushe hii Everton iliibaka team yakoSiku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0
Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,
Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11