Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Everton high line hawaiwezi, high line inahitaji belief.
Wamewadharau manjesta hawa Everton

High line + minimal pressure on the ball = recipe for disaster.

I’ve got no idea what Everton are doing here.
 
Huyu Anthony 2big chances kakosa

Halafu eti €100m

Tukisema mmepigwa mnakasirika
Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
HT: Wasingekuwa na Pickford tungekuwa na goli 4 saa hii.
 
Wamewadharau manjesta hawa Everton

High line + minimal pressure on the ball = recipe for disaster.

I’ve got no idea what Everton are doing here.
Binafsi naonaga kama huweki pressure ya kutosha atleast uwe na aggressive offside trap itapunguza matatizo, ni goalie anawaweka mchezoni vinginevyo ingekuwa aibu.
 
Sijui ni kwanini ubao hausomi 5 bila hadi sasa hivi..i really don't know.
 
Leo de Gea anfepata assist. EtH aache ufala, toa Antony, weka Martial, Rashford arudi kulia.

Sancho wa Dortmund anaanza kuonekana taratibu, tukipata full back anaweza ku-partner na Sancho vizuri sana kama enzi za Black & Yellow: Hakimi & Sancho.
 
Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Siku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0

Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,

Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11
 
Binafsi naonaga kama huweki pressure ya kutosha atleast uwe na aggressive offside trap itapunguza matatizo, ni goalie anawaweka mchezoni vinginevyo ingekuwa aibu.
Bila Quality yakutosha ukicheza huo mpira unakuwa matatizon, ndicho naaona kinawatokea Liverpool ,wanafanya pressing, high line , lakin MF imechoka ,
 
Siku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0

Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,

Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11
Wewe waga ni mpuuzi tu subr game yako kesho upigwe uende kutulia kwenye Uzi wako kwasababu huna unachojua kuhusu mpira na nikukumbushe hii Everton iliibaka team yako
 
Back
Top Bottom