Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Striker.Sijui ni kwanini ubao hausomi 5 bila hadi sasa hivi..i really don't know.
Striker.Sijui ni kwanini ubao hausomi 5 bila hadi sasa hivi..i really don't know.
Bila Quality yakutosha ukicheza huo mpira unakuwa matatizon, ndicho naaona kinawatokea Liverpool ,wanafanya pressing, high line , lakin MF imechoka ,Binafsi naonaga kama huweki pressure ya kutosha atleast uwe na aggressive offside trap itapunguza matatizo, ni goalie anawaweka mchezoni vinginevyo ingekuwa aibu.
Wewe waga ni mpuuzi tu subr game yako kesho upigwe uende kutulia kwenye Uzi wako kwasababu huna unachojua kuhusu mpira na nikukumbushe hii Everton iliibaka team yakoSiku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0
Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,
Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11
Umetoka kwenye hoja umehamia kwenye matusiWewe waga ni mpuuzi tu subr game yako kesho upigwe uende kutulia kwenye Uzi wako kwasababu huna unachojua kuhusu mpira na nikukumbushe hii Everton iliibaka team yako
Acha kabisa, Dalot aozee nje tu.AWB leo anapiga boli..
Thiago alcantara yuko wapi?Bila Quality yakutosha ukicheza huo mpira unakuwa matatizon, ndicho naaona kinawatokea Liverpool ,wanafanya pressing, high line , lakin MF imechoka ,
Watajuana na aliyemleta.Huyu antony amekuwaje mjinga namna hii
Bruno leo anatoa mashuti ya mbali tu yangezaa magoli ingekuwaEtH niletee Harry Kane, tuna jambo letu msimu ujao.
Hawa viazi wanafanya Bruno akose assist. Wanapewa mipira ya kila aina.

We mjinga..umekaa hapo uanze kuisakama Man U mbovu, umeona pira linalopigwa umehamia kumsakama mchezaji mmoja..Huyu Anthony 2big chances kakosa
Halafu eti €100m
Tukisema mmepigwa mnakasirika


















































Injury pia umri umeshamuacha, Huyo na fabinho walikuwa wanazuia Sana ,muangalie fabinho alivyochoka siku hiziThiago alcantara yuko wapi?
Chukua hiiUmetoka kwenye hoja umehamia kwenye matusi
Mimi matusi siwezi
Nilijua hoja niliyoweka utakuja na makasirikio tu
Sababu kaguswa mchezaji wa €100m
Nisamehe
Hapa ndipo mnaponifurahishagaWe mjinga..umekaa hapo uanze kuisakama Man U mbovu, umeona pira linalopigwa umehamia kumsakama mchezaji mmoja..
![]()
Hapa ndipo mnaponifurahishaga
Kumbe mnapenda mpira mzuri enhee
Ule mpira wenu wa kuvizia Kaunta huwa mnajikaza tu
Ni hivi Everton bado quality ndogo
Mm mshabiki wa Title contenderBwana mdg cjui ni shabiki wa timu gani?
Kitwa unashinda kwenye uzi wa Manchester United
Mm mshabiki wa Title contender
Everton quality ndogo..alikufanyaje weweHapa ndipo mnaponifurahishaga
Kumbe mnapenda mpira mzuri enhee
Ule mpira wenu wa kuvizia Kaunta huwa mnajikaza tu
Ni hivi Everton bado quality ndogo