hamis77 mholanzi mwingine tena huyu hapa wanamsaka. Ukiwaambia kuwa 7hag ana vigezo vi2-3 Kwa mchezaji anayemsaka n hivyo ni 1. awe mholanzi au 2. awe amecheza eredevisie, wanakuita hater



Ujue nilikuwa sijui Kama huyu Frimpong Ni mdutch
Nimeenda Google nimekuta kweli
Huyu kocha mfatilie toka dirisha kubwa nje ya wachezaji waki Dutch au waliopita Erevedise Hana jicho la kuchagua labda hawa wenye majina ambao hata Julio kiwelo anawajua kina Hary Kane ,Osmhen, Mbappe ,n.k
Eriksen kapita Ajax
Anthony kapita Ajax
Martinez Kapita Ajax
Malacia kapita Erevedise
Werghost Mdutch
Sabitzer nasikia wanajuana
Casemiro huyu kwa vyanzo vyangu nasikia sio usajili wake Ni usajili wa bodi ya manjesta baada ya kuona wamemkosa De jong(Mdutch kapita Ajax) ,presha kubwa ya mashabiki GRAZZER OUT wakaona wavamie Madrid haraka .
Hata anavyompambania Degea abaki watu wanadhani utani , anajua akifanya sagulasagula ataleta kipa Shati , Manjesta itakuwa taaban , heri abaki na Degea aendelee kumuweka mjini ,
Manjesta nimoja ya timu zinaongoza kukaa chini ,sababu Degea hawez kusogea juu kuunganisha mashambulizi
Top 6
Shots conceded vs goals conceded in the SIX YARD BOX ONLY
Man Utd 49 / 15
Tottenham 24 / 7
Newcastle 20 / 7
Arsenal 19 / 4
Man City 17 / 6
Brighton 17 / 6