Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

RB huyo..

Sasa Wtf are these Dalot's contract extension stories comes from??

AWB ndo anayetakiwa kubakishwa in my opinion.
Screenshot_20230403-231451_Instagram.jpg
 
#MUFC are expected to listen to offers for Dean Henderson this summer.


[Samuel Luckhurst]
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230403_225343_023.jpg
 
Daaah bro hutaki tushinde kisa Hamis77? Acha hizo Mzee si Lazima tuwapige madongo? Au tumkane Hamis Ili usituombee Dua mbaya? Huu ubingwa hatujaugusa miaka mingi sana aisee acha tuuonje japo kidogo
huyu jamaa yenu anakera...

yan kama katumwa na graza kuwatetea😬😬😬


Sema me sina iyana.. mbebe tuu
 
Hiki ndio kitu kinanifanya mara nyingi nisiziamini sana takwimu. Wewe mwenyewe unajua EtH ni kocha mzuri kuliko Ole.
Hapana aisee ,Mimi Nina mazuri mengi ya Ole aliyofanya ,ila alikosa sapoti

Ole hakuwa muoga kuwapa nafas vijana , ole alitaka atengeneze MF ya Bellingham na CF Halland mkamfitini

Ole alikosa uzoefu tu na ndio alichozidiwa na Ten hag

Kumbuka alicheza fainals ,nusu fainals , alikuwa 2nd EPL , unaona kabisa uzoefu ulimgharimu kubeba mataji

Lakini hawana tofauti kubwa na Ten hag,


Na Uzoefu angeupatia kwenye kazi humo humo
 
Arsenal kama mzigo upo mchukueni Osimhen atawafaa sana kwa aina ya wingers mlionao.
@Forgotten unamatusi ya rejareja sana mtu wangu, yaani Arsenyani hawahawa ninaowajua mimi ndio unawashauri wamsajili Osimhen?
Ni sawa na kipindi cha mafuriko kuwashauri wale watu wanaoishi mabondeni wanunue nyumba Osterbay ili kuepukana na adha ya mafuriko ya mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom