HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Huyo nasikia Kila timu kubwa Ina shida naye. Competition sisi huwa hatuweziArsenal kama mzigo upo mchukueni Osimhen atawafaa sana kwa aina ya wingers mlionao.
Huyo nasikia Kila timu kubwa Ina shida naye. Competition sisi huwa hatuweziArsenal kama mzigo upo mchukueni Osimhen atawafaa sana kwa aina ya wingers mlionao.
2lia kontenda wa taitoHawa mashabiki wa timu nyingine wanaovamia ili jukwaa kwa kukera wako vizuri.
utasikia imeeditiwa hii😂
huyu jamaa yenu anakera...Daaah bro hutaki tushinde kisa Hamis77? Acha hizo Mzee si Lazima tuwapige madongo? Au tumkane Hamis Ili usituombee Dua mbaya? Huu ubingwa hatujaugusa miaka mingi sana aisee acha tuuonje japo kidogo
Kuna mstari mwembamba Sana Kati ya Ole Guna na 7 hag
Ni swala la muda wote mtaimba wimbo mmoja humu
View attachment 2575438
Hapana aisee ,Mimi Nina mazuri mengi ya Ole aliyofanya ,ila alikosa sapotiHiki ndio kitu kinanifanya mara nyingi nisiziamini sana takwimu. Wewe mwenyewe unajua EtH ni kocha mzuri kuliko Ole.
Ongezea katika hizo takwimu, 10 Hag kashinda Carabao Cup, yupo robo fainali na anapambania FA na Europa.Kuna mstari mwembamba Sana Kati ya Ole Guna na 7 hag
Ni swala la muda wote mtaimba wimbo mmoja humu
View attachment 2575438
@Forgotten unamatusi ya rejareja sana mtu wangu, yaani Arsenyani hawahawa ninaowajua mimi ndio unawashauri wamsajili Osimhen?Arsenal kama mzigo upo mchukueni Osimhen atawafaa sana kwa aina ya wingers mlionao.
Alicheza fainal Europa na nusu fainal CarabaoOngezea katika hizo takwimu, 10 Hag kashinda Carabao Cup, yupo robo fainali na anapambania FA na Europa.
Katika hizo tawimu OGS alikua anapambania kombe gani lingine zaidi ya Epl? View attachment 2575956
Si ndo kama Allypipi, ARV na Flano wanavyojazana Uzi wa gunners na usumbufu waohuyu jamaa yenu anakera...
yan kama katumwa na graza kuwatetea😬😬😬
Sema me sina iyana.. mbebe tuu