allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,328
- 10,933
Ila wewe umezidi Mpaka kwenye majukwaa ya Liverpool, chelsea bado unaiongelea man u ndo napo shangaa.Mbona nyie mnakujaga Uzi wa Arsenal mnabwata na kujiachia , Hadi matokeo yenu ,msimamo wa ligi mnapost kule
Mlipochukua kombe la Energy Drink mlishinda siku nzima mnapost
Au nyie ndio mna haki miliki ya kutusagula jukwaa la Arsenal ?
Mental Manchester inakutesa.




Winger Bora Kwa Sasa
