sikatai na sipingani na wewe uko huru.Mambo ya ahabu haya ukubwa wa timu ni mataji bhana tena yale makubwa makubwa
Mkuu naona bila man u upati credit kabisa naona uwezi ishi pasipo kuitaja man u.Friends of Brentford
Prediction
Mechi itaisha DRAW maana Leo mtapambana Sana
Bado sijaiona manjesta yakufurukuta kwa Brentford kushinda Comfortably,ukweli usemwe

Mbona nyie mnakujaga Uzi wa Arsenal mnabwata na kujiachia , Hadi matokeo yenu ,msimamo wa ligi mnapost kuleMkuu naona bila man u upati credit kabisa naona uwezi ishi pasipo kuitaja man u.
Mental Manchester inakutesa.View attachment 2576980
Wanaweza kuona unafanya utani ila ndio ukweli halisiTen Hag ni JASUSI la Dutch government hapo MANCHESTER United
Badala ya Antony ulitaka usajiliwe wewe? Hiyo hela inakuuma kama umeitoa wewe vileWanaweza kuona unafanya utani ila ndio ukweli halisi
Huwezi kununua Anthony kwa €100m ,Ni kuitunishia msuli wa kifedha ajax
Sasa hivi anasema Werghost bado yupo sana kisa Ni shemeji yake
Oya mbona unanizuia kuzungumza ,kuwa mpoleBadala ya Antony ulitaka usajiliwe wewe? Hiyo hela inakuuma kama umeitoa wewe vile
Ila wewe umezidi Mpaka kwenye majukwaa ya Liverpool, chelsea bado unaiongelea man u ndo napo shangaa.Mbona nyie mnakujaga Uzi wa Arsenal mnabwata na kujiachia , Hadi matokeo yenu ,msimamo wa ligi mnapost kule
Mlipochukua kombe la Energy Drink mlishinda siku nzima mnapost
Au nyie ndio mna haki miliki ya kutusagula jukwaa la Arsenal ?
Mimi Ni mchambuzi nguliIla wewe umezidi Mpaka kwenye majukwaa ya Liverpool, chelsea bado unaiongelea man u ndo napo shangaa.
Mental Manchester inakutesa.View attachment 2577383





