Hivi arsenal nayo nintop timu? Utop wa arsenal uko wapi ndugu zangu sio kwamba nakejeli naomba kuelimishwa.
Hii ni takwimu ya idadi ya mechi ilizoshinda (Kwa timu zote) kutoka EPL official site timu mbovu ikishika nafasi ya pili. Je umefahamu ukubwa wake unapotokea?
