Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kimbinu 7 hag hamfikii Thomas Frank, Di zerbi, Eddie Howe ,

Van gaal alichukua FA mkamfukuza itakuwa huyu had Sasa ana GD 4
@hamis77 wewe tunajua ni mnafiki ushawai kusema project ya Potter ipo vizuri na Potter ni kocha mzuri kuliko ten hag kiko wapi wewe na Potter wako.
 
United wawaaondoe makapi.

Winga na beki kulia united haina kabisa. Antony ni backup tu. Katikati kuna shida sana united tangia Ferguson astaafu
 
@hamis77 wewe tunajua ni mnafiki ushawai kusema project ya Potter ipo vizuri na Potter ni kocha mzuri kuliko ten hag kiko wapi wewe na Potter wako.
Kocha kufukuzwa haimaanishi ni mbaya.

Tuchel alifukuzwa Chelsea. Conte na Mourinho Spurs. Van Gaal United.

Kilichochochea Ole kuondoka cha kuletewa wachezaji hajawahi kuwataka ndiyo kimemkuta Potter.

Mmiliki anakuletea watu 5 wapya. Hawa wapya wana sifa zile zile za watu 3 ulionao kikosi cha kwanza. Lazima ufeli.
 
If Arsenal lose to Tottenham and we beat Crystal Palace on Wednesday then we beat Arsenal on Sunday. We will be on level with Arsenal!

Man United wazee wa kuombea njaa wengine lakini wanasahau ya kwao
 
@hamis77 wewe tunajua ni mnafiki ushawai kusema project ya Potter ipo vizuri na Potter ni kocha mzuri kuliko ten hag kiko wapi wewe na Potter wako.
Bado msimamo wangu Ni huo huo ,Potter alikuwa hana nguvu yoyote hapo chelkenge

Ni kocha wa daraja la kati ,but namkubali kuliko 7 hag
 
If Arsenal lose to Tottenham and we beat Crystal Palace on Wednesday then we beat Arsenal on Sunday. We will be on level with Arsenal!

Man United wazee wa kuombea njaa wengine lakini wanasahau ya kwao

Basi mjomba kila muda mipasho

Mjomba tugange yajayo,, Man U ni litimu likubwaaa mpk mnasahau kuongelea Cheltako
 
Kocha kufukuzwa haimaanishi ni mbaya.

Tuchel alifukuzwa Chelsea. Conte na Mourinho Spurs. Van Gaal United.

Kilichochochea Ole kuondoka cha kuletewa wachezaji hajawahi kuwataka ndiyo kimemkuta Potter.

Mmiliki anakuletea watu 5 wapya. Hawa wapya wana sifa zile zile za watu 3 ulionao kikosi cha kwanza. Lazima ufeli.
Mmiliki anasajili mwenyewe anaingilia deals za watu ,Potter alikuwa NDIO MZEE

Hata Ole si alikuwa na mwenendo mzuri ,alipoletewa Cr7 si ndio kibarua kikaota nyasi

Makocha wanaojielewa wanataka nguvu had kwenye Usajili

Huyu 7 hag kapewa hiyo nguvu wakampa €250m aboreshe kikos ,kaitapanya

Kocha unampima hata kwenye Usajili tu

Mfano Eddie Howe yeye anasajili mchezaji physical,height kubwa ,

7 hag aliwadanganya manjesta anataka kucheza total football , Cha ajabu anataka kumbakiza Degea ,na kina wanabisaka

70% ya wachezaji wa Manjesta hawawez kucheza total football aliyojitanabaisha .So hata usajili wake haueewek anataka Nini
 
Kocha kufukuzwa haimaanishi ni mbaya.

Tuchel alifukuzwa Chelsea. Conte na Mourinho Spurs. Van Gaal United.

Kilichochochea Ole kuondoka cha kuletewa wachezaji hajawahi kuwataka ndiyo kimemkuta Potter.

Mmiliki anakuletea watu 5 wapya. Hawa wapya wana sifa zile zile za watu 3 ulionao kikosi cha kwanza. Lazima ufeli.
Wachezaji gan potter kaletewa
 
Astonvilla mnacheza nao lini ? Aisee Unai Emery toka aondoke Arsenal naona alienda kupitia Tena madesa yake

Astonivilla Wana mpira wakisasa kabisa , ukienda kibwege wanakupiga vzr kabisa

Jana nimewaangalia wanafanya buildup kuanzia chini wanashambulia kwa haraka , wanakaba kwa pamoja

Toka ameichukua timu Emery Ni Arsenal na city tu ndio wamemzidi kukusanya points

Kuna wachezaji wazuri wanakataa offer ya Man United wanataka kwenda Aston Villa
 
Wachezaji gan potter kaletewa
Hakuna asiyejua pale Chelsea ,Potter alikuwa Kama Bwege ,maana Bohely alikuwa mkurugenzi wa michezo yeye, chief negotiator yeye, kila kitu alikuwa anafanya yeye, kuhijack deals zote yeye,
 
Hata niliposema Anthony mmepigwa mlisema mie na chuki mwisho wote mliimba wimbo mmoja humu
You’ve conceded more goals than the worst Liverpool team of the decade and scored less goals. You have one league cup with the easiest draw of OAT to compensate.

Is this sounding like an era or Mourinho 16/17?
Hii ndiyo sababu kwanini sitaki kuona Arsenal wakibeba ubingwa wa EPL.

Bora iwe Three-peat kwa City tu.

Sasa sisi kupata easiest draw kwenye League Cup hiyo ni shida yetu? The so called "the best teams" zote zimetolewa mlitaka tucheze na nani kama wote mmetolewa!?

EtH & Anthony ndiyo wana msimu wa kwanza, kipindi mnaimba #ArtetaOut mmeshasahau?
 
Hakuna asiyejua pale Chelsea ,Potter alikuwa Kama Bwege ,maana Bohely alikuwa mkurugenzi wa michezo yeye, chief negotiator yeye, kila kitu alikuwa anafanya yeye, kuhijack deals zote yeye,

Kama huna hili jibu nenda katafute jibu ukipata rudi tuendelee kujadiliana

Ukiwa great thinker usijarbu kujustify mawazo yako ambayo hayako verified na kutaka kuaminisha watu, hata kama ni ukweli lazima udhibitike ndo uende mjini ,hakuna haja ya kugoogle rumours

Na Hakuna mahali potter amedai aliletewa wachezaji asiowataka , hayo ni maneno tu ya mashabiki viazi na wajuaji , potter ana level zake za club za kumanage , club kama chelsea sio level zake , chelsea ni club inayohitaji matokeo na sio sjui transtion , hiyo kazi inawezwa na manager wazoefu waliopita club nyingi kubwa wanajua namna ya kupata matokeo kwa mda mfupi , na badae kutengeneza kikosi cha misimu miwili au mitatu ...

Hyo timu aliyotoka potter kabla ya chelesea ilichukua mda gan yeye kuanza kupata matokeo angalau ya kudridhisha japo hakukuwa na mafanikio yyte ya maana? Inashangaza mtu kama huyu unampa umanager hyo ilikuwa total gambling ....

Chelsea , bayern munich , manchester united , real madrid , hzi ni timu zinahtaji matokeo uwanjani bila hvyo manager unakuwa under high pressure ya kufukuzwa na haya mambo yakianza kocha unapoteza uwezo na faster unaloose dressing room ..kinachofata ni vipigo non stop mpak unafukuzwa

Hata timu iwe worst namna gan kocha mwenye uwezo huonyesha matumaini , lakini sio kwa potter , anaye mtetea huyu jamaa inabidi akapimwe akili
 
Ronaldo hakumsajili yeye mlimletea , Kuna tofauti gan Kati ya Ghost na Ighalo?

Ole aliweza kumaliza 3rd na 2nd EPL , huyu ETH ataishia kugombea top 4 ,kimbinu Ni mweupe Sana

Amejaa maneno mengi kuliko vitendo

View attachment 2574679
Hivi unafuatilia mpira kweli au unaandika tu kwasababu stats zipo mtandaoni!?
 
Chelsea na United hazijawahi kua na tatizo la wachezaji. Zote zina tatizo la kocha.

Mara nyingi nilikua nasema hivyo. Yaani ni kwamba hizo timu hata zikipata average coach mwenye mentality ya ushindi ni rahisi kuziona zinaperform. Tuchel kwa Chelsea alienda kuwabadili mentality players and wakacheza jihad.

Shida ya mentality ni kwamba haitokaa milele ndiyo sababu msimu huu ulipoanza chelsea was in shambles. Kisha Tuchel akaprove kua miyeyusho kumuachia Rudiger n.k

So what if mentality anayoinstill Erik kwa united itarun out na atahitaji kustep up kimbinu? Nafikiri tutashuhudia mno matokeo kama ya jana.
Una Winger wa 70+M Sancho, una winger wa 100M Antony. Una winger/ ST anayesema anastahili 500,000 kwa wiki you just need mentality hapa.
Rashford alikanusha kutaka £500k, hiyo tu inaonyesha jinsi gani hujui unachoandika.
 
Man utd and heartbreaks
20220719_121840.jpg
 
Back
Top Bottom