Hakuna asiyejua pale Chelsea ,Potter alikuwa Kama Bwege ,maana Bohely alikuwa mkurugenzi wa michezo yeye, chief negotiator yeye, kila kitu alikuwa anafanya yeye, kuhijack deals zote yeye,
Kama huna hili jibu nenda katafute jibu ukipata rudi tuendelee kujadiliana
Ukiwa great thinker usijarbu kujustify mawazo yako ambayo hayako verified na kutaka kuaminisha watu, hata kama ni ukweli lazima udhibitike ndo uende mjini ,hakuna haja ya kugoogle rumours
Na Hakuna mahali potter amedai aliletewa wachezaji asiowataka , hayo ni maneno tu ya mashabiki viazi na wajuaji , potter ana level zake za club za kumanage , club kama chelsea sio level zake , chelsea ni club inayohitaji matokeo na sio sjui transtion , hiyo kazi inawezwa na manager wazoefu waliopita club nyingi kubwa wanajua namna ya kupata matokeo kwa mda mfupi , na badae kutengeneza kikosi cha misimu miwili au mitatu ...
Hyo timu aliyotoka potter kabla ya chelesea ilichukua mda gan yeye kuanza kupata matokeo angalau ya kudridhisha japo hakukuwa na mafanikio yyte ya maana? Inashangaza mtu kama huyu unampa umanager hyo ilikuwa total gambling ....
Chelsea , bayern munich , manchester united , real madrid , hzi ni timu zinahtaji matokeo uwanjani bila hvyo manager unakuwa under high pressure ya kufukuzwa na haya mambo yakianza kocha unapoteza uwezo na faster unaloose dressing room ..kinachofata ni vipigo non stop mpak unafukuzwa
Hata timu iwe worst namna gan kocha mwenye uwezo huonyesha matumaini , lakini sio kwa potter , anaye mtetea huyu jamaa inabidi akapimwe akili