Umeongea ujinga mtupu
hamis77 . Nadhani huna zaidi ya miaka 7 toka uanze kushabikia mpira.
1. Kocha tayari ana Carabao (hakuna timu yoyote yenye kikombe mwaka huu)
2. Anasubiria kwenda finaly FA (arsenane alitolewa siku nyingi sana)
3. Anasubiri fainaly ya Europa
Makombe matatu anategemea msimu huu. Arsenane akifungwa ile mechi na Man City difference inabaki point 2 ha haaaa. Ikiwa bado mechi 9. Ni mjinga pekee anayewaza ubingwa akiwa na difference ya point 2 na bado mechi 9.
Mjinga kama
hamis77 bado anaamini kile kikatuni kinarukaruka kwenye touchline ni kocha. Mwaka huu patupu tena fukuza kocha huyooooo.