Kocha wenu mnayemuona bora kabisa alikanyagwa na Arsenal mbovuAllyPipi, Bachelor II, Verifaidiyuza, Malcolm XII poleni sana kwa unafki wenu.
Karibuni tena darajani
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeongea ujinga mtupu hamis77 . Nadhani huna zaidi ya miaka 7 toka uanze kushabikia mpira.Niliposema hapa manjesta soon ataaanza kugombea nafasi ya europa nilitukanwa Sana
Sasa Spurs akishinda kesho anawashusheni had nafasi ya 5
Binafsi Bado Sion utofauti mkubwa wa 7+3hag na Ole Gunnar Sosha
Kama Kuna mchambuzi nguli aje anipe utofauti kimbinu ,Tena Mimi namuelewa Sana Ole Gunnar
Leo easily kabisa Newcastle wangeweza kushinda hata 7
Ninaposikia Eti Bado anamng'ang'ania Degea ,unaona kabisa Ni kocha muoga Sana kimaamuzi
Hata kumuondoa CR7 Ni Hadi pale Alipoambiwa Haheshimiwi ,lakini tukio la Kwanza la Cr7 kuondoka baada ya Sub hakutakiwa kucheza Tena .
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini huyu kocha wenu ana tofauti kubwa na waliopita
Geoff Lea mshabiki nguli wa manjesta analalamika kila siku kuhusu Degea na Uwezo wa 3+7hag , anaishia kutukanwa Sana
Jamani hivi viingereza. Kama hujui lugha achana nayo.Hata niliposema Anthony mmepigwa mlisema mie na chuki mwisho wote mliimba wimbo mmoja humu
You’ve conceded more goals than the worst Liverpool team of the decade and scored less goals. You have one league cup with the easiest draw of OAT to compensate.
Is this sounding like an era or Mourinho 16/17?
Nafikiri Erik ni firm decision maker kuliko OleHata niliposema Anthony mmepigwa mlisema mie na chuki mwisho wote mliimba wimbo mmoja humu
You’ve conceded more goals than the worst Liverpool team of the decade and scored less goals. You have one league cup with the easiest draw of OAT to compensate.
Is this sounding like an era or Mourinho 16/17?
Na Chelsea ikabeba makombe ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA SUPER CUP na WORLD CLUB CUP na Arsepimbi hiyo hiyo iliyomfunga Kocha mbovu wa Chelsea FC.Kocha wenu mnayemuona bora kabisa alikanyagwa na Arsenal mbovu
we Arsepimbi 
Luke Shaw confirms an agreement is imminent over new deal: “I’m close to a new contract. Nothing has been signed yet. We’ve agreed certain things. We’ll take it from there”, told Sky.




Hivi kule Madrid wakati Lipegui anafukuza timu ilikuwa katika kipindi gani? Make nakumbuka walitoka mashindano ya kombe la dunia Rusia...Ishawqhi kutokezea ndani ya msimu mmoja wakafukuzwa makocha wawili ndani ya timu moja?





3-2 tena kwa goli la offside?? Yaani aserpimbi wajinga sana kuna shabiki anajiita Hamis77 nahisi bado ni mtoto kutwa anaongea pumba tuKocha wenu mnayemuona bora kabisa alikanyagwa na Arsenal mbovu





Carabao same to mapinduzi cup, FA na Europa ondoa hayo mawazo , vinginevyo utaishia kumtukana kochaUmeongea ujinga mtupu hamis77 . Nadhani huna zaidi ya miaka 7 toka uanze kushabikia mpira.
1. Kocha tayari ana Carabao (hakuna timu yoyote yenye kikombe mwaka huu)
2. Anasubiria kwenda finaly FA (arsenane alitolewa siku nyingi sana)
3. Anasubiri fainaly ya Europa
Makombe matatu anategemea msimu huu. Arsenane akifungwa ile mechi na Man City difference inabaki point 2 ha haaaa. Ikiwa bado mechi 9. Ni mjinga pekee anayewaza ubingwa akiwa na difference ya point 2 na bado mechi 9.
Mjinga kama hamis77 bado anaamini kile kikatuni kinarukaruka kwenye touchline ni kocha. Mwaka huu patupu tena fukuza kocha huyooooo.
Ole gunner hana kikombe miaka yake 5+ aliyokaa hapo Ten Hag alishanyanyua kwapaNiliposema hapa manjesta soon ataaanza kugombea nafasi ya europa nilitukanwa Sana
Sasa Spurs akishinda kesho anawashusheni had nafasi ya 5
Binafsi Bado Sion utofauti mkubwa wa 7+3hag na Ole Gunnar Sosha
Kama Kuna mchambuzi nguli aje anipe utofauti kimbinu ,Tena Mimi namuelewa Sana Ole Gunnar
Leo easily kabisa Newcastle wangeweza kushinda hata 7
Ninaposikia Eti Bado anamng'ang'ania Degea ,unaona kabisa Ni kocha muoga Sana kimaamuzi
Hata kumuondoa CR7 Ni Hadi pale Alipoambiwa Haheshimiwi ,lakini tukio la Kwanza la Cr7 kuondoka baada ya Sub hakutakiwa kucheza Tena .
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini huyu kocha wenu ana tofauti kubwa na waliopita
Geoff Lea mshabiki nguli wa manjesta analalamika kila siku kuhusu Degea na Uwezo wa 3+7hag , anaishia kutukanwa Sana