Msimamizi wenu wa mazoezi (10hag) ananifurahishaga sana. Timu ikifungwa utamuona anaandika andika kwenye kikaratasi, kama ana mbinu vile




Hahahaha fuatilia chiefYana ukweli haya?
Tumecheza mechi 3 za premier league tokea february 19.Hahahaha fuatilia chief
Tumebakiza mechi mbili za kusokotwa eneo la midfield.
Aston villa na brighton.
Tuombe uhai inshaallah
Jumatano haipo mbali inshaallahNani kakudanganya, even brentford will send you in troubles

Fukuzeni kochaTumecheza mechi 3 za premier league tokea february 19.
Tuna mechi 3 za ligi hatujafunga goli
- Tumefungwa saba dhidi ya liverpool
- Tumetoa suluhu dhidi ya southampton
- Tumefungwa dhidi ya newcastle united



Astonvilla mnacheza nao lini ? Aisee Unai Emery toka aondoke Arsenal naona alienda kupitia Tena madesa yakeTumebakiza mechi mbili za kusokotwa eneo la midfield.
Aston villa na brighton.
Tuombe uhai inshaallah


Wewe takataka wa chelsea bado unaendelea kumshikilia potter?

Hata niliposema Anthony mmepigwa mlisema mie na chuki mwisho wote mliimba wimbo mmoja humuWe utakua na chuki tu na ten Haag
Huwez kumfananisha ten Haag na OGS, na hio thin line unayozungumzia ni ten Haag anambinu zaid ya OGS period