hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,686
Niliposema hapa manjesta soon ataaanza kugombea nafasi ya europa nilitukanwa Sana
Sasa Spurs akishinda kesho anawashusheni had nafasi ya 5
Binafsi Bado Sion utofauti mkubwa wa 7+3hag na Ole Gunnar Sosha
Kama Kuna mchambuzi nguli aje anipe utofauti kimbinu ,Tena Mimi namuelewa Sana Ole Gunnar
Leo easily kabisa Newcastle wangeweza kushinda hata 7
Ninaposikia Eti Bado anamng'ang'ania Degea ,unaona kabisa Ni kocha muoga Sana kimaamuzi
Hata kumuondoa CR7 Ni Hadi pale Alipoambiwa Haheshimiwi ,lakini tukio la Kwanza la Cr7 kuondoka baada ya Sub hakutakiwa kucheza Tena .
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini huyu kocha wenu ana tofauti kubwa na waliopita
Geoff Lea mshabiki nguli wa manjesta analalamika kila siku kuhusu Degea na Uwezo wa 3+7hag , anaishia kutukanwa Sana
Sasa Spurs akishinda kesho anawashusheni had nafasi ya 5
Binafsi Bado Sion utofauti mkubwa wa 7+3hag na Ole Gunnar Sosha
Kama Kuna mchambuzi nguli aje anipe utofauti kimbinu ,Tena Mimi namuelewa Sana Ole Gunnar
Leo easily kabisa Newcastle wangeweza kushinda hata 7
Ninaposikia Eti Bado anamng'ang'ania Degea ,unaona kabisa Ni kocha muoga Sana kimaamuzi
Hata kumuondoa CR7 Ni Hadi pale Alipoambiwa Haheshimiwi ,lakini tukio la Kwanza la Cr7 kuondoka baada ya Sub hakutakiwa kucheza Tena .
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini huyu kocha wenu ana tofauti kubwa na waliopita
Geoff Lea mshabiki nguli wa manjesta analalamika kila siku kuhusu Degea na Uwezo wa 3+7hag , anaishia kutukanwa Sana
