Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,463
- 7,073
Arsenal wanavyoshindaga mnaonaga mpira raisiiiiiiiii 😃😃😃😃
Ongezea na sancho anacheza kama kamalizaKipara atakaporuhusu kupewa mikataba wachezaji hawa wafuatao nitakuwa wa kwanza kumpinga japokuwa maandishi yangu hayatokuwa na nguvu yeyote
Tayari tumeshafanya kosa la kumpatia mkataba luke shaw.
- Scott mctominay
- Fred
- Werghost
- Sabitzer
- Diogo dalot
- Wan bissaka
Naendelea kumheshimu david de gea, kwa sababu kuna nyakati tulimpotezea ndoto yake ila si kwa sababu ya uwezo wake.
Kaka mkubwa mpira ni mchezo rahisi sana ndio maana guardiola anakula hela za wazembeArsenal wanavyoshindaga mnaonaga mpira raisiiiiiiiii 😃😃😃😃
Yamekuwa haya tena.Weghorst ni mzigo kule mbele
Dalot hamna anachoweza.
Sancho sijui tutampeleka wapi..
Kwa hiyo hizo hela za bure teni hageni hazitaki si ndioKaka mkubwa mpira ni mchezo rahisi sana ndio maana guardiola anakula hela za wazembe
Nimesema ukweli tu.Utaambiwa una chuki na 7 hag
Ole Guna ndio kocha aliyekuwa na ujasiri wakuwapa nafasi academy players na kuwaaminiKipara kuna mchezaji hataki kumuamini lakini ndiye sehemu ya suluhisho ya matatizo yetu.
Atakakuja kukumbuka shuka haliyakuwa kumekucha
Kazi kwake
View attachment 2574345
Tukiweka ushabiki pembeni siioni manjesta ya kumfunga Newcastle yenye Kiungo Bruno Guimares , Winga Saint Maximin , Alexender Isack ,kipa Nick pope
Na wale mabeki wao warefu
Bado sioni Mkipona leo ,japo mpira muda mwingine una maajabu yake
Prediction
Newcastle 2 manjesta 0
Yana ukweli haya?Title contenders have failed to score a single league goal since 19th February. We’re in april
Yana ukweli haya?
Wewe takataka wa chelsea bado unaendelea kumshikilia potter?Fuatilia, mbona kila kitu kiko wazi