Utaambiwa una chuki na 7 hagIla timu yetu bana haichezi vizuri kabisa ni vile tuna bahati ila mpira wetu hovyo sana unakera..
Na anaongezewa mkataba wa miaka mitatuKocha mjinga huyu..yaani watu wa kutuokoa ni Sancho na Martial. Nimecheka kweli.
Kamtoa Isak kamtoa Maximin.Huyu Kocha kwann anamtoa St Max? Mbona mm ndio nilikuwa namuona tishio