Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,240
- 21,029
Huyu Kocha kwann anamtoa St Max? Mbona mm ndio nilikuwa namuona tishio
Kamtoa Isak kamtoa Maximin.Huyu Kocha kwann anamtoa St Max? Mbona mm ndio nilikuwa namuona tishio
Baada ya kuacha kuishabikia Arsenal umehamia huku nadhani sasa una raha mstareheKipindi cha kwanza tumecheza hovyo sana,ni bahati tu tungekuwa nyuma goal mbili.
Kweli kabisa.Newcastle wangekuwa clinical wangeshinda hata 7




