Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??
 
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??

dah its so sad kumuona vidic anaondoka man u alafu mtu kama smalling na evans bado wanabaki ot
 
Waongo hao Vidic haondoki mbona Mo No atanunua ushindi tu mwaka huu khe khe khe khe khe khekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee anapewa mbinu na Fungie kuanza kuwatetemesha waamuzi.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
article-2553037-1B3E223A00000578-853_634x605.jpg



Raging: Sir Alex Ferguson gained a reputation for leaning on referees
during his Manchester United reign






article-2553037-1B3E22FE00000578-292_306x423.jpg






article-2553037-1B3E221600000578-588_306x423.jpg




Revealing: Dermot Gallgher (top) claims Ferguson (bottom) asked him to call a game off as a favour
'It was chucking it down with rain and Fergie pulled me aside and said “do me a favour, call the game off’," Gallagher told Sportlobster TV. 'I asked why and he said “there’s nowhere else to fit this game in and the Premier League will have to extend the season. We’ll have a better chance of winning the match and we’ll win the league at Old Trafford”.


'At half time United were losing 3-1 and the pitch was like a swimming pool. As we came off he said “I know we’re 3-1 down but please call it off, we could do with a hand here”. 'They managed to pull it back to 3-3 and in the last minute Dennis Irwin ran into the box and went down in front of the Stretford End and I only gave a goal kick. 'At full-time Fergie sprinted across the pitch and shouted at me furiously. My wife said, “Fergie had a right go at you about that penalty didn’t he”.




article-2553037-000264F300000258-207_634x502.jpg





Call it off? Ferguson wanted the game to be postponed while United were 3-1 down against Boro in 1997





article-2553037-0002650500000258-753_634x412.jpg




One up: Juninho (left) puts Middlesbrough in the lead but the North East side were unable to win​



'I told her he hadn’t mentioned the penalty. She asked why he came tearing across the pitch at me then. The truth is he ran over and asked me if I was going out to dinner that night. I said “no” and he asked “why are we leaving so early then?”.'


Indeed, Ferguson's ability to squeeze every last second out of officials when his side were losing has since been highlighted. With United trailing at Old Trafford under their former boss, an average of 79 seconds extra was played in added time.




article-2553037-1B3E237200000578-290_634x489.jpg


Retired: But Gallagher has lifted the lid on Ferguson's hairdryer





article-2553037-16A88F9B000005DC-209_634x472.jpg




Fury: Ferguson blasts Mike Dean during a clash with Newcastle on Boxing Day last season​
 
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??

Ni kweli kuwa kuna wachezaji wengi lazima wataondoka,kumbuka tunaanza era mpya na tunahitaji wachezaji wapya wenye motivation na timu.Giggs,Rio,Nani,Carick,Fletcher,Evra wote wako United si chini ya miaka 7 na wameshinda almost kila kitu OT.Kwa sasa wengi viwango vimeshuka,umri mkubwa na kusumbuliwa na majeruhi so ni wakati wa kupisha wengine still kuna vijana kama De Gea,Rafael,Jones,Evans,Mata,Januzaj na kusajili wachezaji wengine
Nilitegemea Moyes atafanya reshufle kubwa na tayari imeanza Anderson,Rio,Giggs na Vidic tayari hawatakuwepo msimu ujao.Still tutaendelea kuwakumbuka kwa mchango wao mkubwa waliotuletea hasa

article-2553471-0155ACA200000578-656_634x416.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ni kweli kuwa kuna wachezaji wengi lazima wataondoka,kumbuka tunaanza era mpya na tunahitaji wachezaji wapya wenye motivation na timu.Giggs,Rio,Nani,Carick,Fletcher,Evra wote wako United si chini ya miaka 7 na wameshinda almost kila kitu OT.Kwa sasa wengi viwango vimeshuka,umri mkubwa na kusumbuliwa na majeruhi so ni wakati wa kupisha wengine still kuna vijana kama De Gea,Rafael,Jones,Evans,Mata,Januzaj na kusajili wachezaji wengine
Nilitegemea Moyes atafanya reshufle kubwa na tayari imeanza Anderson,Rio,Giggs na Vidic tayari hawatakuwepo msimu ujao.Still tutaendelea kuwakumbuka kwa mchango wao mkubwa waliotuletea hasa

View attachment 137912

mkuu kwani ishakuwa confirmed kwani kwamba giggs na rio watastaafu msimu huu.
 
....:#CaptainVidic keshatangaza nia....

.....#VanPersie na #Rooney 

Vida anaondoka kwa mutual consent na kocha.....Vida ameshinda kila kombe kubwa katika ngazi ya klabu..acha aende Inter akamalizie soka lake

Ni dhahiri kwamba DM anataka kujenga timu yake.....na ameanza kwa kumshawishi Rooney abaki, kisha kumnunua Fellaini na Mata....kisha hilo la Vida ndilo limefuata, huku kama alivyosema Belo hapo juu, akina Giggs, Evra, Rio nao watafuatia....DM anahitaji United mpya...nami namuunga mkono na miguu kwa hilo....

Rooney wala RvP hawawezi kuondoka United...kwa hela atakayopewa Rooney paundi laki 3, sidhani kama kuna klabu itakayowez kumlipa hivyo...vilevile kwa RvP kwa mpunga anaokula United (paundi laki 2 unusu nafikiri) na umri wake, kuna timu inaweza kumlipa hivyo kweli?

Wachezaji ambao wanaweza kuondoka, na wataniuma sana wakiondoka ni Chicharito, Kagawa na Nani. Hawa ni squad players, yaani ni wachezaji wenye umuhimu mno...hata waje akina Cavanni, Reus, Gundogan, Vidal, Koke, Herrera, squad players lazima wawepo.....
 
Vida anaondoka kwa mutual consent na kocha.....Vida ameshinda kila kombe kubwa katika ngazi ya klabu..acha aende Inter akamalizie soka lake

Ni dhahiri kwamba DM anataka kujenga timu yake.....na ameanza kwa kumshawishi Rooney abaki, kisha kumnunua Fellaini na Mata....kisha hilo la Vida ndilo limefuata, huku kama alivyosema Belo hapo juu, akina Giggs, Evra, Rio nao watafuatia....DM anahitaji United mpya...nami namuunga mkono na miguu kwa hilo....

Rooney wala RvP hawawezi kuondoka United...kwa hela atakayopewa Rooney paundi laki 3, sidhani kama kuna klabu itakayowez kumlipa hivyo...vilevile kwa RvP kwa mpunga anaokula United (paundi laki 2 unusu nafikiri) na umri wake, kuna timu inaweza kumlipa hivyo kweli?

Wachezaji ambao wanaweza kuondoka, na wataniuma sana wakiondoka ni Chicharito, Kagawa na Nani. Hawa ni squad players, yaani ni wachezaji wenye umuhimu mno...hata waje akina Cavanni, Reus, Gundogan, Vidal, Koke, Herrera, squad players lazima wawepo.....

so bad kagawa,rafael,butner wote wanaweza wakaonfoka mwisho wa msimu huu its confirmed now moyes ameridhishwa na kiwango cha evans,smalling na de gea,so its very posible smalling na evans wapo kwenye mipango ya dm,chicharito amesema ataangalia hatma yake man u baada ya world cup,kwangu mimi tatizo sio rafael wala kagawa kuondoka bali tatizo ni kocha kuhakikisha tunawapata watu sahihi wenye uwezo zaidi yao na pia nitafurahi sana iwapo giggs,na ferdinand watatundika daluga kama inavyohisiwa na wengi. Ila pia kwa upande mwingine nahisi kocha amefanya haraka sana kumpa go ahead rafael ni msimu huu tu kiwango chake kimeshuka im sure next season atarudi kwenye ubora wake. Ila kocha ot ndo mwenye maamuzi ya mwisho lets wait and see timu yetu inavyoundwa.
 
so bad kagawa,rafael,butner wote wanaweza wakaonfoka mwisho wa msimu huu its confirmed now moyes ameridhishwa na kiwango cha evans,smalling na de gea,so its very posible smalling na evans wapo kwenye mipango ya dm,chicharito amesema ataangalia hatma yake man u baada ya world cup,kwangu mimi tatizo sio rafael wala kagawa kuondoka bali tatizo ni kocha kuhakikisha tunawapata watu sahihi wenye uwezo zaidi yao na pia nitafurahi sana iwapo giggs,na ferdinand watatundika daluga kama inavyohisiwa na wengi. Ila pia kwa upande mwingine nahisi kocha amefanya haraka sana kumpa go ahead rafael ni msimu huu tu kiwango chake kimeshuka im sure next season atarudi kwenye ubora wake. Ila kocha ot ndo mwenye maamuzi ya mwisho lets wait and see timu yetu inavyoundwa.

Rafael alishakanusha hiyo habari ya kuondoka.
 
Starting XI: De Gea, Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Mata, Carrick, Fletcher, Young; Rooney, van Persie.

Subs: Lindegaard, Ferdinand, Giggs, Valencia, Kagawa, Januzaj, Hernandez.
 
Starting XI: De Gea, Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Mata, Carrick, Fletcher, Young; Rooney, van Persie.

Subs: Lindegaard, Ferdinand, Giggs, Valencia, Kagawa, Januzaj, Hernandez.

waxhezaji wazee sana hawa
 
Back
Top Bottom