Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread




#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230311_165245_146.jpg
 
Conte na mpira wake wa ujanja ujanja ila ana kombe la juzi juzi tu hapo nyie arsenal miaka 18 Sasa no EPL CUP sasa sio Bora hata Conte kama unaona ni rahisi na nyie chezeni mpira wa ujanja ujanja uwape hata ka UEFA basi
Unamzungumzia Conte wa miaka 10

Now tunazungumzia morden football ambayo Degea akirudishiwa mpira anatetemeka

Unadhan Kuna timu inajielewa epl inaweza kumleta Mourinho au Simeon?
 
Erik ten Hag on Marcus Rashford’s celebration: “He is expressing himself well. Pointing to his head, he’s saying, ‘it’s all in my head and I’m in control.’”

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230311_160722_883.jpg
 
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,

Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Mbona hamsemi kuwa tumecheza Mpaka na wakina Barcelona mmeshika wakina reading tu.
 
Unamzungumzia Conte wa miaka 10

Now tunazungumzia morden football ambayo Degea akirudishiwa mpira anatetemeka

Unadhan Kuna timu inajielewa epl inaweza kumleta Mourinho au Simeon?
Hao wote unao wataja mechi za ulaya Wana mafanikio kuliko timu yako kwanini nyie msicheze ujanja ujanja hata mwaka mmoja mpate hata ueropa tu.
 
Hao wote unao wataja mechi za ulaya Wana mafanikio kuliko timu yako kwanini nyie msicheze ujanja ujanja hata mwaka mmoja mpate hata ueropa tu.
Muda utaongea ,ujue Nyie wabishi Sana ndio maana mnadai timu yenu imekamilika lakini mliotewa 7-0
 
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,

Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Kilichofanya tucheze na Reading au Charlton ni nini? Si baada ya Arsenyani, Cheltako na Liverkuku kubanduliwa.

Sisi hatujachagua kucheza na Reading au Charlton ni ubovu wa timu kama unayoshabikia kushindwa kufika hatua tunazofika. FA robo fainali tutacheza na Fulham siyo sisi tumejipangia. United tupo vizuri ndiyo maana tupo hapa tulipo, acheni kutafuta sababu ambazo hazina maana.
 
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,

Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
United msimu huu amecheza na timu zote za EPL ikiwemo Arsenal, Man City, Tottenham, Newcastle pamoja L'pool. Kwa timu nje ya Uingereza amecheza na Barcelona.

Timu zote ambazo United tumecheza zaidi ya mchezo mmoja tumezifunga msimu huu. Kipimo unachozungumzia ni kipi hicho? Taja timu moja tu ambayo ipo ktk top 6 United hajapata alama 3.
 
Liverpool inajulikana msimu huu ni wabovu , ila siokweli waliwafunga 7-0 kwa kubahatisha ,ni sababu timu yenu bado Sana ina matobo ,

Huu mpira wa janja janja hata Conte aliucheza Sana msimu uliopita ukampeleka had UCL, na akapambwa Sana atabeba EPL msimu huu, lakini tulisimama tukasema mpira wa Sasa EPL sio ule wa miaka 2015 kurudi nyuma

Kwasasa Conte anataka kukimbia Epl baada ya kuona Hali ngumu
Kwa nini unafanya ulinganifu wa vitu visivyofanana? Conte na Ten Hag ni makocha wawili tofauti kabisa wanaofanya kazi ktk falsafa za mpira zenye mitizamo tofauti pia.

Nani kasema United ni project iliyokamilika? Ndio kwanza kocha hajatimiza hata mwaka mmoja wa kazi. Unafahamu malengo Spurs vs United ndani miaka 3 ijayo?
 
Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu

Sasa hivi anataka kukimbia kabisa


Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
Lengo msimu huu ni kucheza uefa msimu ujao yani kumaliza ndani ya top four, acha wivu wa kike ukweli usemwe ETH ndani ya miezi hii 8 ndani ya united kuna utofauti mkubwa sana ameleta ndani ya timu na kakikombe kabeba, sasa wewe upo kwenu huko vikindu eti fyoko fyoko timu mbovu
 
Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu

Sasa hivi anataka kukimbia kabisa


Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
We jamaa una points lakini zimekaa ki rival zaidi.

Kitu unashindwa kuona ni Progress tuliyofanya ukilinganisha na Msimu jana.
Ila ukikaa ukafuatilia Takwimu utaona kuna Progress kwenye Parameters kadhaa.


Unachosema ni kweli mpira wetu haujabadilika sana( in term of Ball Possession).
Man U toka enzi za SAF, haikuwa timu ya kumiliki mpira sana.
Hiki kitu si rahisi kuibadili, haiwezekani ETH aweze ndani ya msimu mmoja.
 
Kilichofanya tucheze na Reading au Charlton ni nini? Si baada ya Arsenyani, Cheltako na Liverkuku kubanduliwa.

Sisi hatujachagua kucheza na Reading au Charlton ni ubovu wa timu kama unayoshabikia kushindwa kufika hatua tunazofika. FA robo fainali tutacheza na Fulham siyo sisi tumejipangia. United tupo vizuri ndiyo maana tupo hapa tulipo, acheni kutafuta sababu ambazo hazina maana.
Yaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.
 
Yaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
 
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa

Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa

Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha

Itakaponyesha tutajua panapovuja


Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu

Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD
 
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa

Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa

Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha

Itakaponyesha tutajua panapovuja


Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu

Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
 
Back
Top Bottom