Unamzungumzia Conte wa miaka 10Conte na mpira wake wa ujanja ujanja ila ana kombe la juzi juzi tu hapo nyie arsenal miaka 18 Sasa no EPL CUP sasa sio Bora hata Conte kama unaona ni rahisi na nyie chezeni mpira wa ujanja ujanja uwape hata ka UEFA basi![]()
Mbona hamsemi kuwa tumecheza Mpaka na wakina Barcelona mmeshika wakina reading tu.Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Hao wote unao wataja mechi za ulaya Wana mafanikio kuliko timu yako kwanini nyie msicheze ujanja ujanja hata mwaka mmoja mpate hata ueropa tu.Unamzungumzia Conte wa miaka 10
Now tunazungumzia morden football ambayo Degea akirudishiwa mpira anatetemeka
Unadhan Kuna timu inajielewa epl inaweza kumleta Mourinho au Simeon?
Muda utaongea ,ujue Nyie wabishi Sana ndio maana mnadai timu yenu imekamilika lakini mliotewa 7-0Hao wote unao wataja mechi za ulaya Wana mafanikio kuliko timu yako kwanini nyie msicheze ujanja ujanja hata mwaka mmoja mpate hata ueropa tu.
Kilichofanya tucheze na Reading au Charlton ni nini? Si baada ya Arsenyani, Cheltako na Liverkuku kubanduliwa.Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
United msimu huu amecheza na timu zote za EPL ikiwemo Arsenal, Man City, Tottenham, Newcastle pamoja L'pool. Kwa timu nje ya Uingereza amecheza na Barcelona.Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Kwa nini unafanya ulinganifu wa vitu visivyofanana? Conte na Ten Hag ni makocha wawili tofauti kabisa wanaofanya kazi ktk falsafa za mpira zenye mitizamo tofauti pia.Liverpool inajulikana msimu huu ni wabovu , ila siokweli waliwafunga 7-0 kwa kubahatisha ,ni sababu timu yenu bado Sana ina matobo ,
Huu mpira wa janja janja hata Conte aliucheza Sana msimu uliopita ukampeleka had UCL, na akapambwa Sana atabeba EPL msimu huu, lakini tulisimama tukasema mpira wa Sasa EPL sio ule wa miaka 2015 kurudi nyuma
Kwasasa Conte anataka kukimbia Epl baada ya kuona Hali ngumu
Lengo msimu huu ni kucheza uefa msimu ujao yani kumaliza ndani ya top four, acha wivu wa kike ukweli usemwe ETH ndani ya miezi hii 8 ndani ya united kuna utofauti mkubwa sana ameleta ndani ya timu na kakikombe kabeba, sasa wewe upo kwenu huko vikindu eti fyoko fyoko timu mbovuHii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu
Sasa hivi anataka kukimbia kabisa
Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
We jamaa una points lakini zimekaa ki rival zaidi.Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu
Sasa hivi anataka kukimbia kabisa
Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
Yaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.Kilichofanya tucheze na Reading au Charlton ni nini? Si baada ya Arsenyani, Cheltako na Liverkuku kubanduliwa.
Sisi hatujachagua kucheza na Reading au Charlton ni ubovu wa timu kama unayoshabikia kushindwa kufika hatua tunazofika. FA robo fainali tutacheza na Fulham siyo sisi tumejipangia. United tupo vizuri ndiyo maana tupo hapa tulipo, acheni kutafuta sababu ambazo hazina maana.
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisiaYaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwaHuyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa
Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa
Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha
Itakaponyesha tutajua panapovuja
Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu
Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD