Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha wa mpira
-650837555.jpg
 
Yaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
 
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa

Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa

Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha

Itakaponyesha tutajua panapovuja


Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu

Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD
 
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa

Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa

Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha

Itakaponyesha tutajua panapovuja


Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu

Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
 
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
Umeongea vizuri unajua boli ndugu,
 
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
Tanzania hii watu kama wewe hamzidi 10 hongera sana mkuu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.

Wee ni mdau wa mpira sio wengi wale mashabiki maandazi na wapenzi lia lia wasioelewa football
 
Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu

Sasa hivi anataka kukimbia kabisa


Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
Bora ucheze mpira wa hovyo unapata matokeo kuliko mpira unaovutia huambulii kitu.

Hata wakati wa SAF tulikuwa tunacheza hivihivi tena worse than now.

That's how United play.

That's our style.

United way.
 
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,

Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Ulikuwa wapi usicheze nao?
 
Unamzungumzia Conte wa miaka 10

Now tunazungumzia morden football ambayo Degea akirudishiwa mpira anatetemeka

Unadhan Kuna timu inajielewa epl inaweza kumleta Mourinho au Simeon?
Hao makipa unaowaongelea wapo timu gani? Timu zao zipo nafasi ya ngapi? Wana kombe lolote msimu huu?

Sometimes you need more than that to win trophies.
 
7-0?

Hapa hamna Cha kujitetea ,nyie ni wabovu tu ,

Shida yenu mnafichama kwenye matokeo ,angalia mmeshindaje ,sio kubahatisha

Mfano hiyo mechi mliyoshinda 3-1 vs Arsenal ,hakuna mpira wa maana au performance ambayo ilikuwa guarantee mna timu Bora
Nitajie mechi moja tu ambayo united alicheza mpira wa maana mbele ya aseno
 
Ten Hag on Facundo Pellistri vs Real Betis: This was his moment to come on because of a longer period he performed in training. What impressed me was he came on and, straight [away], showed himself. When they came on, Scott [McTominay] and Pelli, it was 3-1 but 4-1 is huge, to make the extra goal. In the first moment, they did, which was brilliant.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230311_235023_851.jpg
 
Back
Top Bottom