Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisiaYaani kuchukua kalabao cup tu tumepata maadui wengi hivi je tukichukua na Europe cup siwatatuloga hawa jamaa.
Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwaHuyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.Muda utaongea maana hamtaki kusikia mabaya ,mnataka kusifiwa
Na tulishawakataza msifananishe Vikosi walivyokuta Arteta au Klopp na bajeti walizopewa
Timu aliyokuta Ten hag na bajet aliyopewa na usajili aliofanya unonesha ni aina gan ya kocha
Itakaponyesha tutajua panapovuja
Kuna wenzio walikuwa wanadai manjesta ndio timu inaongoza kukabia juu
Wakati takwimu asilimia kubwa zinaonyesha mna mentality ya middle team , Hadi GD
Umeongea vizuri unajua boli ndugu,Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
Tanzania hii watu kama wewe hamzidi 10 hongera sana mkuuNi kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.

Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha muda mfupi ni either uchague kimoja kati hivyo viwili kwa kocha mpya katika timu mpya huwezi kuvipata vyote kwa pamoja wape mda angalau msimu ujao unaweza kuwazodoa kwa sasa naona wamechagua matokea na wanayapata kwa kias kikubwa so kudus to ETH and his boys.
Makubwa jinga yalikamia mechi moja yatarudi tena chini huko kwa watoto wenzao.Liverpool ni kikundi cha wahuni sio timu.
Saba waliziona deal.
View attachment 2546452
Hapa watoto waliwaramba Sasa make ya Saba ya nini.
Nguruwe wakubwa hawa
Bora ucheze mpira wa hovyo unapata matokeo kuliko mpira unaovutia huambulii kitu.Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu
Sasa hivi anataka kukimbia kabisa
Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
Ulikuwa wapi usicheze nao?Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo
Miguvu kulukundu nyie
Hao makipa unaowaongelea wapo timu gani? Timu zao zipo nafasi ya ngapi? Wana kombe lolote msimu huu?Unamzungumzia Conte wa miaka 10
Now tunazungumzia morden football ambayo Degea akirudishiwa mpira anatetemeka
Unadhan Kuna timu inajielewa epl inaweza kumleta Mourinho au Simeon?
Hivi Spurs wanaweza kumuachia? Ni mchezaji wao muhimu sana, ameshika Timu yao, bila Kane wanaweza kuwa bottom 10.EtH, niletee Harry Kane.
#Hattrick 👀
Nitajie mechi moja tu ambayo united alicheza mpira wa maana mbele ya aseno7-0?
Hapa hamna Cha kujitetea ,nyie ni wabovu tu ,
Shida yenu mnafichama kwenye matokeo ,angalia mmeshindaje ,sio kubahatisha
Mfano hiyo mechi mliyoshinda 3-1 vs Arsenal ,hakuna mpira wa maana au performance ambayo ilikuwa guarantee mna timu Bora
Mwisho wa msimu kwenye mkataba wake utabaki mwaka mmoja, inasemekana hataki kusaini mkataba mpya. Kane anafikiria kuokoa career yake maana mpaka sasa hajashinda chochote na Spurs.Hivi Spurs wanaweza kumuachia? Ni mchezaji wao muhimu sana, ameshika Timu yao, bila Kane wanaweza kuwa bottom 10.




