hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,Kinachoamua mwisho wa mashindano ni kitu gani? Jaribu kufanya comparison ya United vs English premier league teams msimu huu ktk mashindano yote. (EPL, EFL, FA pamoja na European cups)
Unasemaje timu mbovu imeshinda michezo 31 kati 43 msimu huu idadi kubwa kuliko timu yoyote ile barani ulaya ktk ligi 5 kubwa (EPL, Serie A, Bundesliga, La Liga na Ligue 1) na ni timu pekee inayoshiki michuano yote ktk vilabu vya Uingereza. Ubora wa timu unapimwa kwa kitu gani? (72.1% - winning percentage, yaani ktk kila mechi 10 United msimu huu tumeshinda mechi 7)
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo







️
️

