Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nahodha wa Tottenham ya Uingereza Harry Kane, 29, ndiye mshambuliaji mkuu anayelengwa na Manchester United msimu huu wa joto. (Manchester Evening News)
 
"Acha maneno weka mziki"
20230310_072726.jpg
 
Dalot ni uchafu
Hata mimi najua ila sidhani kama ni eneo ambalo lina ulazima sana kubadilisha. Hata mimi natamani "the likes of Hakimi" ila eneo la RB nahisi tunaweza kuanza msimu mpya bila mabadiliko labda kama tutaweza kupata cash ya kutosha kwa kuuza wachezaji kadhaa.

Eneo muhimu la kusajili ni:

1. ST, hapa budget yake ita-range £60m - 100m. Kama tutamsajili Kane, Osimhen siyo chini ya 100m, ni expensive pia uwezo siyo zaidi ya Kane faida yake ni umri tu.

2. CM, hapa budget yake ita-range £70m - 100m. Kama tutamsajili F. de Jong. Bellingham pale ukisogelea Dortmund wanakupiga hata 100m (English tax)

3. CB, hapa budget ita-range £40m - 50m. Kama tutamsajili Min-Jae maana ana release clause ya €45m.

4. GK, hapa budget ita-range £40m - 65m. Kama tutamsajili Diogo Costa, Porto wanataka £60m ila David Raya ni £40m.

So hapo tu siyo chini ya £200 zitahitajika, hivyo eneo kama RB siyo hitaji muhimu sana kwetu kutokana na pesa inayoweza kupatikana kwa usajili.
 
Hata mimi najua ila sidhani kama ni eneo ambalo lina ulazima sana kubadilisha. Hata mimi natamani "the likes of Hakimi" ila eneo la RB nahisi tunaweza kuanza msimu mpya bila mabadiliko labda kama tutaweza kupata cash ya kutosha kwa kuuza wachezaji kadhaa.

Eneo muhimu la kusajili ni:

1. ST, hapa budget yake ita-range £60m - 100m. Kama tutamsajili Kane, Osimhen siyo chini ya 100m, ni expensive pia uwezo siyo zaidi ya Kane faida yake ni umri tu.

2. CM, hapa budget yake ita-range £70m - 100m. Kama tutamsajili F. de Jong. Bellingham pale ukisogelea Dortmund wanakupiga hata 100m (English tax)

3. CB, hapa budget ita-range £40m - 50m. Kama tutamsajili Min-Jae maana ana release clause ya €45m.

4. GK, hapa budget ita-range £40m - 65m. Kama tutamsajili Diogo Costa, Porto wanataka £60m ila David Raya ni £40m.

So hapo tu siyo chini ya £200 zitahitajika, hivyo eneo kama RB siyo hitaji muhimu sana kwetu kutokana na pesa inayoweza kupatikana kwa usajili.
Upewe ulinzi.

Timu akipewa mwarabu tunasajili first eleven nzima😄
 
Back
Top Bottom