Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pamoja na ushindi ila kwenye umaliziaji forward zetu zinapoteza nafasi nyingi sana za wazi, hii game kungekua na umakini kwenye ufungaji hawa waspaniola wangekula hata goli 10+
Nadhani msimu ujao striking department inatakiwa isukwe upya.

Aje striker mpya na wahakikishe hawakosi nafasi kizembe hivi.
 
Pamoja na ushindi ila kwenye umaliziaji forward zetu zinapoteza nafasi nyingi sana za wazi, hii game kungekua na umakini kwenye ufungaji hawa waspaniola wangekula hata goli 10+

Father Goat CR7 angekuwepo jana ilikuwa anapiga hat trick
 

Captain Bruno akicheza 10 anakuwa superb sana kuliko winga
 
Matatizo makuubya Man U mbele ni mawili ..

1.Umaliziaji mbovu .Mechi nyingi hata tukizo shinda mfululizo karibia kila mechi lazima kuwe na clear chances nyingi tunazokosa hata mechi na liver tulianza kwa kukosa magoli ya wazi wakati wenzetu ontarget 4 zilikuwa goli 4.

2.Uchoyo na Ubinafsi.Rashford ,Bruno ,Antony na Garnacho hawa mara nyingi ni vigumu kuangalia wenzao wanapokuwa ndani ya 18 ,nimecheki highlights mechi ya Bayern na Psg kuna Goli moja jamaa yupo karibu kabisa na kipa ila kamuangalia mwenzake aliyekuwa hajakabwa kabisa nakushinda kiulaini nikavuta picha Man U kwenye situation zile ni nadra sana kukuta mtu anatoa assist akiwa ndani ya 18 mara nyingi atajaribu kupiga tu.
 
Natumai benchi la ufundi wawe makini na mambo ya msingi kama haya timu izidi kufikia matarajio mazuri.
 
Manchester United ni moja ya klabu zinazovutiwa na mshambuliaji wa Argentina Paulo Dybala, 29, ambaye anaweza kusajiliwa kwa pauni milioni 11 msimu wa joto licha ya kujiunga na Roma mwaka jana pekee. (Goal)

Manchester United pia wamejiunga na orodha inayovutiwa na mlinda mlango wa Brentford David Raya, huku Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 27 akitarajiwa kuondoka The Bees baada ya kukataa kandarasi mpya. (talkSPORT)
 
Manchester United wamemuongeza kiungo wa kati wa Chelsea na Uingereza Mason Mount, 24, kwenye orodha ya wachezaji wanaotarajiwa kusajiliwa msimu wa joto. {Guardian)
 
Uchoyo ni tatizo kubwa sana pale Utd
Sijui wachezaji hawapendani au vipi, yan ndo mana hata magoli yetu huon tukifunga yale magoli easy ni magoli ya kulazimisha sanaaa tunafunga

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…