verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Mdomo uliponza kichwaKitakachompata Real Betis leo anajua Mungu pekee yake
Mdomo uliponza kichwaKitakachompata Real Betis leo anajua Mungu pekee yake
Hii dili next month likamilike.The Qatari's are the biggest bidders for Manchester United.
Most market-watchers believe this will be the only factor the Glazers consider when they are happy their valuation has been reached.
ze-dudu
#lauriewhitwell
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2542399
Mdomo uliponza kichwa View attachment 2542692
Hapa kwa Camavinga ndio uhakika.Manchester United wako tayari kutoa euro 130m (£115m) kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa Eduardo Camavinga, 20, kutoka Real Madrid. (Fichajes – in Spanish)
Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane, 29, yuko kwenye orodha ya usajili ya meneja wa Manchester United Erik ten Hag, kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji wa Ghana Mohammed Kudus, 22 kutoka klabu ya zamani ya Mholanzi huyo Ajax. (TalkSport)
Lakini United watataka kuwauza wachezaji kadhaa wa kikosi cha kwanza, akiwemo beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, ili kutoa nafasi kwa wachezaji wapya msimu huu wa joto. (ESPN)
🤣🤣🤣🤣Kawaida hii,Man city have allowed Manuel Pelegrini's Real Betis to train at the city's training ground ahead of their UEL clash against Manchester united.
Adui wa adui yako ni rafiki yako.
Hiki ndo tunakikumbukaView attachment 2542924
Mnakumbuka?
Ndio tunakumbuka vizuri, kisha baada ya kushinda mechi zote hizo kwa idadi kubwa ya magoli, ukatwaa kombe gani? Nikumbushe na hapo mkuuView attachment 2542924
Mnakumbuka?
kama unakumbuka ndio Vizuri kaa kwa kutulia..Ndio tunakumbuka vizuri, kisha baada ya kushinda mechi zote hizo kwa idadi kubwa ya magoli, ukatwaa kombe gani? Nikumbushe na hapo mkuu
Wiki iliyopita ulinusa msalaManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs Real betis 1
5:00 usiku
Old Trafford
Back to the action
Sasa wewe wabetie Real betis kama hayo magoli utawafungia wewe.
GGMUView attachment 2543124


Sisi hatutaacha kupost hata mkishinda mia..Wacha tuone leo wamejifunzaa au wanaenda kuruka uwanjani leo betis wapigwe pressing mwanzo mwisho. Matokeo mazuri ya leo ndo yanaweza kufuta kelele wiki hii maana ni ndefu mno.
Unajua Kwanini bado una post kwasababu Man U ni kubwa kuliko timu yako ipo hivyo siku zote timu ndogo ikifunga timu kubwa upiga kelele kwa Muda mrefu maana hayo maisha hawajazoea Madrid kawakanda Liverpool goli 5 wala avimbi popote.Sisi hatutaacha kupost hata mkishinda mia..
Tena ngoja nifungue ma file yangu nijiandae.
The Qataris will walk away from their bid to buy #mufc if the price is not right. Sheikh Jassim is ready to buy for a fair price but will not be held to ransom. Whilst there is a general acceptance that whoever buys United will have to overpay, Sheikh Jassim will not be reckless.Mwarabu apewe timu haraka sana