Haki ya Mungu Rooney angekuwa foreigner angekuwa kashalimwa RED kama 2 msimu huu... EPL wanalindana kinoma. Na hii sio Rooney tu nimeshaiona hata kwa Wilshere wetu.
Haki ya Mungu Rooney angekuwa foreigner angekuwa kashalimwa RED kama 2 msimu huu... EPL wanalindana kinoma. Na hii sio Rooney tu nimeshaiona hata kwa Wilshere wetu.
Sio ktk Mechi hii tu ambayo Rooney ame-escape straight red... Kuna mechi kama 3 hivi ambapo Roney badala ya kufuata mpira anakula miti. Na sio kama nam attack Rooney ni hawa marefa wa England wanapendeleana. Muingereza anaweza afanye faulo akapewa yellow wakati mgeni akapewa red. Nadhani hata faulo ya Walters ilistahili red ssema ndo hivyo nadhani ni Muingereza mwenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.