kweli fear factor imekufa, jinsi stoke wanavyowapeleka puta utazani mmegeuka Mecco vs lipuli. Usually Stoke City ni watu wa ku defend 11 people behind the ball lakini
Vipi kuhusu Demba Ba na Cashley Cole
Hahahaha hakuna anayeiogopa Man U siku hizi afu mwaka huu mkimaliza nafasi ya 6 itakuwa ndo kama ubingwa wenu.. What's Mata now LOL? Anyway, mambo vipi mkuu?Timu ipo nafasi ya 7 imaiogopa jee ingekuwa ipo nafasi ya 2 ingekuwaje?
Hahahaha hakuna anayeiogopa Man U siku hizi afu mwaka huu mkimaliza nafasi ya 6 itakuwa ndo kama ubingwa wenu.. What's Mata now LOL? Anyway, mambo vipi mkuu?
Wenger bado anaiogopa
It looks like daren fletcher is the right sub for the injured phil jones