rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Soon Bendtner atakuwa ana namba ya uhakika emirates, flop wenu ninahisi summer atapelekwe sehemu on loan. Pazi sijamuona muda mrefu. Ozil leo alikuwa anapiga pasi kama Joey barton vile
Bendtner yupo juu kuliko Chicharito. Ozil kazungusha sana kipindi cha pili sema bahati haikuwa yetu leo ama sivyo msingekuwa na la kusema. Nawasubiri emirates 12 Feb