Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soon Bendtner atakuwa ana namba ya uhakika emirates, flop wenu ninahisi summer atapelekwe sehemu on loan. Pazi sijamuona muda mrefu. Ozil leo alikuwa anapiga pasi kama Joey barton vile

Bendtner yupo juu kuliko Chicharito. Ozil kazungusha sana kipindi cha pili sema bahati haikuwa yetu leo ama sivyo msingekuwa na la kusema. Nawasubiri emirates 12 Feb
 
Bendtner yupo juu kuliko Chicharito. Ozil kazungusha sana kipindi cha pili sema bahati haikuwa yetu leo ama sivyo msingekuwa na la kusema. Nawasubiri emirates 12 Feb

LOl labda kama unamsema Chicharito wa Faru Dume, Ozil na Wilshire siku hizi wanapangwa kwa sababu ya majina yao tuu na itawa cost hiyo mwisho wa msimu wakati mtakapokuwa mnagombania nafasi yenu ya 4 na spurs "kama kawaida yenu"
 
LOl labda kama unamsema Chicharito wa Faru Dume, Ozil na Wilshire siku hizi wanapangwa kwa sababu ya majina yao tuu na itawa cost hiyo mwisho wa msimu wakati mtakapokuwa mnagombania nafasi yenu ya 4 na spurs "kama kawaida yenu"

Jinsi mlivyo wabovu katikati Ozil anaweza kucheza nafasi mbili za midfield yenu peke yake afu mkalibeba kombe tena.
 
LOl labda kama unamsema Chicharito wa Faru Dume, Ozil na Wilshire siku hizi wanapangwa kwa sababu ya majina yao tuu na itawa cost hiyo mwisho wa msimu wakati mtakapokuwa mnagombania nafasi yenu ya 4 na spurs "kama kawaida yenu"

wilshare ni kati ya viungo bora kbs england na captain wa baadae wa timu ya taifa
 
Jinsi mlivyo wabovu katikati Ozil anaweza kucheza nafasi mbili za midfield yenu peke yake afu mkalibeba kombe tena.

Kumbuka game ya kwanza Ozil alikuwa mmoja wa flop wa mechi,alifichwa na Phil Jones. Au mlimuambukiza ule ugonjwa wenu wa kuiogopa Man United?
 
hahaha!unaota au viroba?man unaipandsha hapo?bg 4 ni gunnrz,city,chelc na liver/spurs

Umeanza kushangilia Arsenal baada ya kusajiliwa OZIL inaonekana,kwa sisi tunaojua Arsenal tunaona posibility kubwa.Kama umeangalia fixture zenu za February na March utakubali.Unafikiri kwa nini Wenger alikuwa analalamika Mourinho kuwauzia Mata Man United?
 
Umeanza kushangilia Arsenal baada ya kusajiliwa OZIL inaonekana,kwa sisi tunaojua Arsenal tunaona posibility kubwa.Kama umeangalia fixture zenu za February na March utakubali.Unafikiri kwa nini Wenger alikuwa analalamika Mourinho kuwauzia Mata Man United?

Tatizo lake hifahamu vizuri timu yake kabla ya kukutana nao tarehe 12 lazima watakua wameshapoteza game moja hapo kati, Tukiwachapa ndo watapoteana kabisa
 
David Moyes on the return of Rooney & Van Persie: "It's massive...I'm looking forward to getting them & Mata on the pitch together".

Wengi tumefurahia ujio wa hao majembe Rooney na Robin, at least tutapumua. Ukichanganya na Mata ndio kabisaaaa.
 
: Ulivyoambiwa
mamba kibogoyo ndo ukafanya
mto swimming pool akikisha
utakufa wewe ]]
good work juan mata, robin van
persie wyne rooney januzaj
hivyo tu
 
Kumbuka game ya kwanza Ozil alikuwa mmoja wa flop wa mechi,alifichwa na Phil Jones. Au mlimuambukiza ule ugonjwa wenu wa kuiogopa Man United?

Huu ugonjwa unapatiwa dawa soon. Ila kuna kitu Fulani kila tunapocheza na Man utd huwa hatuko fit tunakuwa tumepungukiwa na mchezaji au wachezaji wa muhimu. Safari hii inaelekea tutawakosa Ramsey, Flamini, Rosicky, Wilshere , "DIABY" na nina uhakika baada ya mechi ya Palace au Liverpool kuna wengine wataongezeka.
 
Interviewer: "What was the most difficult thing for you during the match?"

Solskjær: "Not celebrating when United scored."

#MUFC "
 
Umeanza kushangilia Arsenal baada ya kusajiliwa OZIL inaonekana,kwa sisi tunaojua Arsenal tunaona posibility kubwa.Kama umeangalia fixture zenu za February na March utakubali.Unafikiri kwa nini Wenger alikuwa analalamika Mourinho kuwauzia Mata Man United?

una miaka mingapi mkuu?isiwe ndo wale glory hunter!
TZ 99
 
una miaka mingapi mkuu?isiwe ndo wale glory hunter!
TZ 99
Arsenal kuongoza ligi ni kitu cha kawaida but kumaliza ligi ndio kazi inayowashinda miaka yote,so far wachezaji wameshachoka na majeruhi yamepamba moto.Angalia fixtures ya Arsenal ya February na March
 
Arsenal kuongoza ligi ni kitu cha kawaida but kumaliza ligi ndio kazi inayowashinda miaka yote,so far wachezaji wameshachoka na majeruhi yamepamba moto.Angalia fixtures ya Arsenal ya February na March

acha kuweweseka wewe,
alafu subiri msimu ujao ukiwa big4 ndio uje tuongee
 
acha kuweweseka wewe,
alafu subiri msimu ujao ukiwa big4 ndio uje tuongee

Anayeweweseka ni Mr.Bean baada ya Chelsea kutuuzia Mata anaanza kulialia anasahau hata yeye alituuzia RVP akawauzia City Nasri

Arsenal kuwa big four kwenu ni
sawa na ubingwa,its 9 years now mnasindikiza mabingwa
 
Anayeweweseka ni Mr.Bean baada ya Chelsea kutuuzia Mata anaanza kulialia anasahau hata yeye alituuzia RVP akawauzia City Nasri

Arsenal kuwa big four kwenu ni
sawa na ubingwa,its 9 years now mnasindikiza mabingwa

Chifu acha kujibizana na mtu anayekesha humu kwenye jukwaa la timu wanayosema siyo tishio kwa mbio zao za ubingwa. Kule kwao wanasema wanaongea na watu wa top 4 tu! Sasa sijui anafanya nini humu?

#Anaweweseka

Halafu, chifu umesikia habari ya Fernando, kiungo wa kati pale Porto kugoma kuongeza mkataba na kuhusishwa na United, Shitty na Loserfools?
 
Back
Top Bottom