martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,463
Duuh!! Mbongo bhn!! yaani unachagua kama unatoa hela weweYuko Vizuri huyo.
Saints wakishuka daraja anaweza kupatikana kwa bei rahisi.
Ni CDM, ana miaka 19.
Mwingine ni Bella-Kotchap, CB
Duuh!! Mbongo bhn!! yaani unachagua kama unatoa hela weweYuko Vizuri huyo.
Saints wakishuka daraja anaweza kupatikana kwa bei rahisi.
Ni CDM, ana miaka 19.
Mwingine ni Bella-Kotchap, CB
Hahaha,Duuh!! Mbongo bhn!! yaani unachagua kama unatoa hela wewe
Kuweni mnaamini walimu.Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159
Jinga weweGarnacho anarukaruka tu
Somo zuri sana hili la managerial skills,inaonesha wenzetu wanaangalia zaidi output kuliko position. I am not suprised RUI FARAI na Maurinho walifuatana kila mahali na RUI alipenda zaid kuwa assistant.View attachment 2535228
Kocha mkuu steve McLaren akiwa na msaidizi wake erik ten hag
View attachment 2535230
Kocha mkuu erik ten hag akiwa na msaidizi wake steve McLaren
Maisha yanaenda kasi sanaView attachment 2535228
Kocha mkuu steve McLaren akiwa na msaidizi wake erik ten hag
View attachment 2535230
Kocha mkuu erik ten hag akiwa na msaidizi wake steve McLaren











Ujinga huo huwa tunawaachia As'anal nashangaa shabiki wa man u eti naye anaongea ki As'anal As'anal.Kwa hiyo mchezaji akiwa mzuri hatma yake ni madrid?
So, man u ni timu ndogo?Yap ni mfano wa timu kubwa
Kwa kawaida man u huwa inauza mchezaji isiyemhitaji.Haendi popote. Zama zimebadilika. Hatuuzi tena wachazaji kizembe
Watu wanaakili bhn.
Sema South American player kiwango kikiwa kikubwa wanapenda kwenda Real au Barcelona.Yap ni mfano wa timu kubwa
Labda kwa minajili hiyo. Lakini sio eti timu ije kuweka dau kwa best players wetuKwa kawaida man u huwa inauza mchezaji isiyemhitaji.