Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mashabiki wanafiki humu sijapata kuona.
Ooooh Ghost hajui lolote lile lile ni garasa tu mkataba uishe arudi mtaani akachome mahindi.
Ooooh AWB hana kitu ni uchochoro tu anasindikiza wafungaji tu.
Na maneno mengine mengi.

Kesho yake
Ghost ni nomaaaaaaaa
AWB akapoteza Maximim mpaka kawa Minimum
 
FA CUP Quarter Finals: 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿


Manchester City vs Burnley.
𝙈𝙖𝙣𝙘𝙝𝙚𝙨𝙩𝙚𝙧 𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙 vs Fulham.
Brighton vs Grimsby.
Sheffield United vs Blackburn.

#WaleteFULHAM
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
View attachment 2534262
Timu zilizo upande wa kushoto zinashinda hatua ijayo
 
Adrian Kajumba anasema:
manchester united wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo wa southampton anayeitwa Romeo Lavia.
huyu lavia alitokea timu ya vijana ya manchester city na baadae kuuzwa kwa kitita cha paundi millioni 14.
Manchester city pia wanayo nafasi ya kumnunua tena kwa paundi millioni 40 kwa mujibu wa makubaliano yao.
chelsea na arsenal pia wanahusishwa na kiungo huyo.

kumbuka:
kipaombele cha ETH bado ni frenkie de jong
 
Adrian Kajumba anasema:
manchester united wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo wa southampton anayeitwa Romeo Lavia.
huyu lavia alitokea timu ya vijana ya manchester city na baadae kuuzwa kwa kitita cha paundi millioni 14.
Manchester city pia wanayo nafasi ya kumnunua tena kwa paundi millioni 40 kwa mujibu wa makubaliano yao.
chelsea na arsenal pia wanahusishwa na kiungo huyo.

kumbuka:
kipaombele cha ETH bado ni frenkie de jong
Yuko Vizuri huyo.
Saints wakishuka daraja anaweza kupatikana kwa bei rahisi.
Ni CDM, ana miaka 19.
Mwingine ni Bella-Kotchap, CB
 
Nchi ambazo madirisha ya usajili yapo wazi na klabu kutoka nchi tajwa zimeulizia huduma ya Greenwood
20230302_173700.jpg
 
View attachment 2535228
Kocha mkuu steve McLaren akiwa na msaidizi wake erik ten hag

View attachment 2535230
Kocha mkuu erik ten hag akiwa na msaidizi wake steve McLaren
Somo zuri sana hili la managerial skills,inaonesha wenzetu wanaangalia zaidi output kuliko position. I am not suprised RUI FARAI na Maurinho walifuatana kila mahali na RUI alipenda zaid kuwa assistant.

EtH anamkusanyiko wa skills nyingi sana. Makocha wote wataanza kumkimbia.
 
Back
Top Bottom