christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,060
Mwambie huyo mkuu haoni tulichowafanyiaga hao Madrid kwa De gea. Hata enzi za Feg alikuwa anawauza huko Madrid ni kwa sababu ya utovu wa nidhamu, mfano Beckham na Van Nestroy.Haendi popote. Zama zimebadilika. Hatuuzi tena wachazaji kizembe








