NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,943
- 12,695
Anfield memories over the years 
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |View attachment 2537480View attachment 2537481View attachment 2537482View attachment 2537483
Anfield memories over the years 





Unauzoefu wa kutosha wa kukojoa kitandani naona 🙂🙂🙂🙂Ukikojoa kitandani ukweni usiku huwa mfupi sana.
Janja janja yenu ya kushinda kwa mazingaombwe mwisho wenu ni leo
Liva 2 Man U 0
Nani sasa hayaogopi majogoo?
TupumzishweeeeeeHow do you see the rest of #mufc's month going?
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2535908
Leo tutawapiga kama Ngoma na mtueleze mnapambania top 6 au top 10?Ukikojoa kitandani ukweni usiku huwa mfupi sana.
Janja janja yenu ya kushinda kwa mazingaombwe mwisho wenu ni leo
Liva 2 Man U 0
Nani sasa hayaogopi majogoo?
Si mmeingilia show isio yenu. Tukiwa nyuma kwa 2-0 nyie ndo mlikua mmejazana kwenye uzi wetu.Yani akili za arsenal fans bwana Yani mnakimbizana na city ila mnatuwaza United!
Wanashinda kwa mazingaombweUkikojoa kitandani ukweni usiku huwa mfupi sana.
Janja janja yenu ya kushinda kwa mazingaombwe mwisho wenu ni leo
Liva 2 Man U 0
Nani sasa hayaogopi majogoo?



Southgate ana chuki binafsi na Greenwood.Greenwood habari yake ishaisha hata Southgate kasema hatomwita timu ya taifa.
Unaambiwa Wiki Nzima Hii Mohammed Salah Amegoma Kwenda Nyumban Yeye Ni Mazoez Na Kufanya Ibada Anfield Imewalazim Polis Waje Wamtoe Uwanjan Na Kumpelek Nyumban.
Polisi Wamemkuta Akifanya Mazoez Huku AnaliaView attachment 2537705

tusubiri tuone kiumane leo,KENGE hawaGreenwood habari yake ishaisha hata Southgate kasema hatomwita timu ya taifa.
Pale anfield bhana wewe,, hua muna rambwa sanaNjoo kumbuka usije namatokeo mkonon maana utalud umevimba mashavu


TeamUkikojoa kitandani ukweni usiku huwa mfupi sana.
Janja janja yenu ya kushinda kwa mazingaombwe mwisho wenu ni leo
Liva 2 Man U 0
Nani sasa hayaogopi majogoo?
Ni mtegoNyumbuuuuu,, Nawaona mnavyo ogopa, sisi leo tupo hapa hatubandukii,,, kama mlivyo fanya jana kwenye thread yetu,,
Ww utakubr tuPale anfield bhana wewe,, hua muna rambwa sana![]()
Kama wewe tuvyokupiga 8 pale kwenye vitofali vya kuchoma OTPale anfield bhana wewe,, hua muna rambwa sana![]()