acontinuer
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 241
- 256
Wawachukue wote hao ndio viwango vyao vinaruhusu kucheza huko.West Ham United are interested in signing a trio of Scott McTominay, Harry Maguire and Anthony Martial.
#MEN
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2536319
Kuwe na saa ambayo mpira ukisimama kwa namna yoyote ile saa nayo inasimama na wakifanikiwa hilo basi waondoe dakika za nyongeza.FIFA are seriously considering a new "game clock" rule in football, where the clock stops when the ball goes out of play. Their hope is that it will put an end to time-wasting.
#Marca
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2536327
Kweli kabisa.Haya machezaji yanayosakwa muda mrefu yakifika huwa yanaporomoka viwango!!
Itapendeza sana..West Ham United are interested in signing a trio of Scott McTominay, Harry Maguire and Anthony Martial.
#MEN
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2536319
Huu nao ni moto mwingine baada yaa Rashford, Greenwood na Garnacho. Academy ya man u huwa inatoa watu wazuri sana huwa naumia sana kumpoteza Januzay na sasa naona kama kuna dalili za kumpoteza Greenwood.Joe Hugill has been presented with January's #PL2 Player of the Month award at Carrington
#MUAcademy
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2536320
Greenwood huyo tayari biashara yake imeshaishaHuu nao ni moto mwingine baada yaa Rashford, Greenwood na Garnacho. Academy ya man u huwa inatoa watu wazuri sana huwa naumia sana kumpoteza Januzay na sasa naona kama kuna dalili za kumpoteza Greenwood.
Hapo kwa Lindolof unamuonea tu.Tatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.
1.Pogba
2.Maguire
3.Martial
4.Linderlof
Sasa hapo tumebaki na watatu.
Sasa hapo tu
Unawaza kumuuza tena?Garnacho akiendelea na kiwango hiki namuona akienda madrid kwa dau kubwa
Kwa upande wangu nitakua mtu wa mwisho kuukubali uzuri wa huyo Ghost.Kuna mashabiki wanafiki humu sijapata kuona.
Ooooh Ghost hajui lolote lile lile ni garasa tu mkataba uishe arudi mtaani akachome mahindi.
Ooooh AWB hana kitu ni uchochoro tu anasindikiza wafungaji tu.
Na maneno mengine mengi.
Kesho yake
Ghost ni nomaaaaaaaa
AWB akapoteza Maximim mpaka kawa Minimum
Tuliwakazia Jesse Ling's ila aliwafaa sana kipindi kile alirudi kwenye ubora tulipompeleka kaa mkopo,naona ni muda wa kuwaachia kwa sasa.Wawachukue wote hao ndio viwango vyao vinaruhusu kucheza huko.
Sure talk,haya maswala mtu kurusha throw in inatumia dakika 2 yaishe.Kuwe na saa ambayo mpira ukisimama kwa namna yoyote ile saa nayo inasimama na wakifanikiwa hilo basi waondoe dakika za nyongeza.
Greenwood habari yake ishaisha hata Southgate kasema hatomwita timu ya taifa.Huu nao ni moto mwingine baada yaa Rashford, Greenwood na Garnacho. Academy ya man u huwa inatoa watu wazuri sana huwa naumia sana kumpoteza Januzay na sasa naona kama kuna dalili za kumpoteza Greenwood.