Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,638
- 47,685
Kulingana na maelezo ya Raph Rangnik, wachezaji waliokuwa wanaondoa balance kwenye dressing room sababu ya big ego ni Pogba, Cavani na Martial. Na alishawaweka kwenye departure list.Tatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.
1.Pogba
2.Maguire
3.Martial
4.Linderlof
Sasa hapo tumebaki na watatu.
Sasa hapo tu








