Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uza Martial, sajili Weghorst (permanently). Nunua striker mwingine.

Mchezaji kama Martial anatuongezea tu quantity. Ukiwa na Weghorst kuna quality anaongeza kwenye timu.

jamaa kakosa zali la magoli tu ila ana mchango sana na kila ushindi wetu
Majukumu aliyopewa Man U sio sawa na aliyopewa alipokuwa timu ya taifa. Kule alikuwa mviziaji, huku amekuwa chance creater.
 
Tatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.
1.Pogba
2.Maguire
3.Martial
4.Linderlof
Sasa hapo tumebaki na watatu.
Sasa hapo tu
Kulingana na maelezo ya Raph Rangnik, wachezaji waliokuwa wanaondoa balance kwenye dressing room sababu ya big ego ni Pogba, Cavani na Martial. Na alishawaweka kwenye departure list.
 
Back
Top Bottom