Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.
1.Pogba
2.Maguire
3.Martial
4.Linderlof
Sasa hapo tumebaki na watatu.
Sasa hapo tu
Kulingana na maelezo ya Raph Rangnik, wachezaji waliokuwa wanaondoa balance kwenye dressing room sababu ya big ego ni Pogba, Cavani na Martial. Na alishawaweka kwenye departure list.
 
Kuna mashabiki wanafiki humu sijapata kuona.
Ooooh Ghost hajui lolote lile lile ni garasa tu mkataba uishe arudi mtaani akachome mahindi.
Ooooh AWB hana kitu ni uchochoro tu anasindikiza wafungaji tu.
Na maneno mengine mengi.

Kesho yake
Ghost ni nomaaaaaaaa
AWB akapoteza Maximim mpaka kawa Minimum
 
FA CUP Quarter Finals: 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿


Manchester City vs Burnley.
𝙈𝙖𝙣𝙘𝙝𝙚𝙨𝙩𝙚𝙧 𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙 vs Fulham.
Brighton vs Grimsby.
Sheffield United vs Blackburn.

#WaleteFULHAM
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
View attachment 2534262
Timu zilizo upande wa kushoto zinashinda hatua ijayo
 
Adrian Kajumba anasema:
manchester united wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo wa southampton anayeitwa Romeo Lavia.
huyu lavia alitokea timu ya vijana ya manchester city na baadae kuuzwa kwa kitita cha paundi millioni 14.
Manchester city pia wanayo nafasi ya kumnunua tena kwa paundi millioni 40 kwa mujibu wa makubaliano yao.
chelsea na arsenal pia wanahusishwa na kiungo huyo.

kumbuka:
kipaombele cha ETH bado ni frenkie de jong
 
Adrian Kajumba anasema:
manchester united wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo wa southampton anayeitwa Romeo Lavia.
huyu lavia alitokea timu ya vijana ya manchester city na baadae kuuzwa kwa kitita cha paundi millioni 14.
Manchester city pia wanayo nafasi ya kumnunua tena kwa paundi millioni 40 kwa mujibu wa makubaliano yao.
chelsea na arsenal pia wanahusishwa na kiungo huyo.

kumbuka:
kipaombele cha ETH bado ni frenkie de jong
Yuko Vizuri huyo.
Saints wakishuka daraja anaweza kupatikana kwa bei rahisi.
Ni CDM, ana miaka 19.
Mwingine ni Bella-Kotchap, CB
 
Back
Top Bottom