billduke
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 861
- 901
Itoshe kusema we ni mchawi
mechi ya 3 consecutively unatabiri na inakuwa kweli![]()
Mkuu mimi sio mtu wa kuamini mambo ya kubet ila naona mara ya 3 mfululizo unapatia.
Itoshe kusema we ni mchawi
mechi ya 3 consecutively unatabiri na inakuwa kweli![]()
Mkuu💪umetishaManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs West Ham 1
Time
4.45 usikuView attachment 2533766
Man City anapita.Manchester City anakutana na Burnley round ijayo acha tuone.
Umejua leo! Huyo Martial siku zote mimi nilisema ni takataka (mvivu)Uza Martial, sajili Weghorst (permanently). Nunua striker mwingine.
Mchezaji kama Martial anatuongezea tu quantity. Ukiwa na Weghorst kuna quality anaongeza kwenye timu.
Kwa Martial sijawahi kukubishiaUmejua leo! Huyo Martial siku zote mimi nilisema ni takataka (mvivu)
Uza Martial, sajili Weghorst (permanently). Nunua striker mwingine.
Mchezaji kama Martial anatuongezea tu quantity. Ukiwa na Weghorst kuna quality anaongeza kwenye timu.
Majukumu aliyopewa Man U sio sawa na aliyopewa alipokuwa timu ya taifa. Kule alikuwa mviziaji, huku amekuwa chance creater.jamaa kakosa zali la magoli tu ila ana mchango sana na kila ushindi wetu
Tatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.Kwa Martial sijawahi kukubishia
Sema waingereza Bei zao mkasiDeclan Rice kwa mara ya kwanza jana amefanikiwa kunishangaza.
Nilikuwa namchukulia poa sana kwa sababu ya utaifa wake
Wote hao waliobakia hakuna regular starter, so we are goodTatizo kubwa la man u lilikuwa linasababishwa na wachezaji wafuatao.
1.Pogba
2.Maguire
3.Martial
4.Linderlof
Sasa hapo tumebaki na watatu.
Sasa hapo tu