Jamaa wanalalamika km vile United anatakiwa aachiwe kucheza mpira peke yakeAcha utani wewe unaangalia mpira upi?
Sema nimeacha kubet. Wewe ni noma mkuu leo nimekuvulia kofia hata hizo zingine kama ukikoseq fresh tu wewe ni nyokoMkuu nimekuwa shabiki wa Manchester United kwa Muda mrefu kwaiyo naijua sana timu yangu hapo no ndumba Wala mimi uchawi siuamini.

Ila weweeeSkills zake zote hazikufanikiwa. Hapo ameokota dodo tu
atakuja kuniuwa, haikuwa inaniuma kufungwa hii mechi bali 𝕌ℕ𝔹𝔼𝔸𝕋𝔼ℕ ya Pale 𝕆𝕃𝔻 𝕋ℝ𝔸𝔽𝔽𝕆ℝ𝔻 kuvunjwa na hawa watoto wadogo ingeniuma sana kuliko hata kukosa kombe.
Lilipo na tutafika




Kwani ni Home and away game sio kwmaba ni game mojaMan U vs Fulham robofainal tunaanzia O.T
Alejandro Garnacho’s game by numbers vs. West Ham:
83% pass accuracy
11 ground duels won
6 dribbles completed
3 shots
2 tackles won
1 interception
1 goal
POTM.
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2534248
Mjiandae ya Liverpool![]()


utaje nyingi wale tuwa dinyee km last season wao walichotufanya