Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.
 
Boss ETH nasikia anataka usajili wachezaji wawili muhimu dirisha kubwa, mm naona atuletee vlahovic/ osmhen afu kiungo de jong/ Bellingham
Vlahovic hawezi kuwa na msaada epl.

Osimhen yupo vizuri ni central striker.

De Jong aachwe huko huko Barcelona yake haiendi United badala yake twende kwa Jude Bellingham, Joao Palhinha au Nicolo Barella.

I recommend Nicolo Barella
 
Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.
AWB mechi ya Barcelona alikuwa hatoki nafasi hiyo kwa kutojua au kutokana na mapungufu yake ila ilikuwa kutokana mahitaji ya mchezo.


Mechi ya kwanza alikuwa akibana uwanja ili kutengeneza narrow shape kwenye defence kuzuia kina Gavi na Pedri wasipige through balls nyingi eneo hilo.


Mechi ya Manchester Barca walianza na Sergio Roberto kama winger lakini alikuwa akicheza ndani kama ten na Bissaka ndiyo alitakiwa Kummark Sergio Roberto kila alimpomfuata akiingia kati ilikuwa inampa space Balde.

Baada ya Sergio Roberto kutoka hakukuwa tena na pattern hiyo ya uchezaji ndiyo maana alipoingia Dalot Balde hakupanda sana tena.
 
New target.
Same desire.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230301_195914_968.jpg
 
Back
Top Bottom