Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United are undefeated in their last EIGHTEEN games at Old Trafford

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230301_131329_508.jpg
 
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Ukiwa na mawinga kama hao haimaanishi beki usipande. Narudia tena mpira umebadilika sana is why sikuizi hata beki wa kati ukamkuta mbele anashambilia mipira ya kona sometimes.
 
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Sasa Mbona Trent, White, Cancelo, na Hakimi huwa wanapanda.
Mpira wa sasa unategemea FB kupanda.

Ili ku Overlap au Underlap.
 
Yule "mbwiga" anasema hapa kila siku hajui Fred anafanya nini uwanjani sijui atakuwa wapi saa hii. Kwa taarifa yake tu ni kwamba katika wachezaji watatu bora wa Man U Fred ni mmojawapo.View attachment 2533713
Martinez, Casemiro, Bruno na Rashford. Sawa ngoja niishie hapa maana hata eriksen ni majeruhi. Au umemaanisha wachezaji watatu bora wa Man U upande wa kiuongo?.

Ninavyo waelewa wanao msema Fred ni kuhusu kukosa muendelezo wakufanya vizuri mechi na mechi, wewe umeshindwa kuwaelewa unaleta mahaba niue
 
Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.
 
Boss ETH nasikia anataka usajili wachezaji wawili muhimu dirisha kubwa, mm naona atuletee vlahovic/ osmhen afu kiungo de jong/ Bellingham
Vlahovic hawezi kuwa na msaada epl.

Osimhen yupo vizuri ni central striker.

De Jong aachwe huko huko Barcelona yake haiendi United badala yake twende kwa Jude Bellingham, Joao Palhinha au Nicolo Barella.

I recommend Nicolo Barella
 
Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.
AWB mechi ya Barcelona alikuwa hatoki nafasi hiyo kwa kutojua au kutokana na mapungufu yake ila ilikuwa kutokana mahitaji ya mchezo.


Mechi ya kwanza alikuwa akibana uwanja ili kutengeneza narrow shape kwenye defence kuzuia kina Gavi na Pedri wasipige through balls nyingi eneo hilo.


Mechi ya Manchester Barca walianza na Sergio Roberto kama winger lakini alikuwa akicheza ndani kama ten na Bissaka ndiyo alitakiwa Kummark Sergio Roberto kila alimpomfuata akiingia kati ilikuwa inampa space Balde.

Baada ya Sergio Roberto kutoka hakukuwa tena na pattern hiyo ya uchezaji ndiyo maana alipoingia Dalot Balde hakupanda sana tena.
 
Back
Top Bottom