Mnaobeti, chukueni hii, jamaa huwa haendi mbali na ukweliManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs West Ham 1
Time
4.45 usikuView attachment 2533766
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,
Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?
Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Tumpe taarifa ETH kabisa😂Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs West Ham 1
Time
4.45 usikuView attachment 2533766
Sasa Mbona Trent, White, Cancelo, na Hakimi huwa wanapanda.Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,
Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?
Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Martinez, Casemiro, Bruno na Rashford. Sawa ngoja niishie hapa maana hata eriksen ni majeruhi. Au umemaanisha wachezaji watatu bora wa Man U upande wa kiuongo?.Yule "mbwiga" anasema hapa kila siku hajui Fred anafanya nini uwanjani sijui atakuwa wapi saa hii. Kwa taarifa yake tu ni kwamba katika wachezaji watatu bora wa Man U Fred ni mmojawapo.View attachment 2533713
Nasubiri kuthibitisha leo kama wewe ni mchawi kabisa au laaaManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs West Ham 1
Time
4.45 usikuView attachment 2533766
Throwback to 2011 when Man United attempted to hide the fact they were signing De Gea
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2533701



alikuja legelege mno ilibidi babu amuanzishie diet ya kibabe sana
Wameongeza bei wapuuzi hawa na nahisi washaanza ona dalili za mafanikioThere is NO guarantee the Glazers will sell Manchester United. They have been underwhelmed by the value of the offers so far and the amount of them.
#JacobsBen
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2533702
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs West Ham 1
Time
4.45 usikuView attachment 2533766



Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.
Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.
Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
Vlahovic hawezi kuwa na msaada epl.Boss ETH nasikia anataka usajili wachezaji wawili muhimu dirisha kubwa, mm naona atuletee vlahovic/ osmhen afu kiungo de jong/ Bellingham
AWB mechi ya Barcelona alikuwa hatoki nafasi hiyo kwa kutojua au kutokana na mapungufu yake ila ilikuwa kutokana mahitaji ya mchezo.Nakubaliana na wewe ila msimu huu mechi ya Barca Camp Nou na nyingine baadhi za mashindano mengine AWB amekuwa akienda sana Kati na kuacha upenyo nafasi kama hakuna beki wa pembeni na yeye ni beki wa kati .Upande wake ukawa unapokea mashambulizi mengi hatari sasa sijui kama ilikuwa mbinu ya kocha au maaamuzi yake binafsi.
Leo mfate uukalieUnyama Sana Mzee Baba, Your Last Prediction Ulitupa Pesa Wazee Wa Kubet![]()