Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,157
GGMU 





.Mara Maguire ndani ya kikosi,![]()
Leo kaanza mbonaMara Maguire ndani ya kikosi,![]()
Nadhani akatafute changamoto kwingine, amekuwa na mkosi sana hapo Utd.Jadon Sancho is ill
Bado ni kijana mdogo, anaweza kuwashangaza wapinzani wake huko mbeleniNadhani akatafute changamoto kwingine, amekuwa na mkosi sana hapo Utd.
Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159
Huyu mtoto vipi?..kila baada ya wiki mgonjwa..fvckJadon Sancho is ill
Hapo kwa kiungo akomae kwa na de Jong tu. Huyo Muingereza Dortmund watataka wapige pesa hapo kwenye hilo dili.Boss ETH nasikia anataka usajili wachezaji wawili muhimu dirisha kubwa, mm naona atuletee vlahovic/ osmhen afu kiungo de jong/ Bellingham
Kosi la ushindi hilo, mpira ni mbinu na utimamu wa wachezaji tu.Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159
Ila we jamaa unajua kulalamika, maana kwako siku zote Ten Hag anakosea kikosi.Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159