Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rotation nzuri
Screenshot_20230301-215835.jpg
 
Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159
Kosi la ushindi hilo, mpira ni mbinu na utimamu wa wachezaji tu.

Hiki kikosi bado ni levels ahead of West Ham.
 
Nilidhani ETH anataka makombe yote haya kumbe nimejidanganya. Kikosi dhaifu sana, wakati wapinzani wameweka full mziki. Sijui kesho tutaficha wapi sura zetu kwa mashabiki wa aseno. View attachment 2534159
Ila we jamaa unajua kulalamika, maana kwako siku zote Ten Hag anakosea kikosi.

Relax. Let's trust the manager asee, kuna kitu anaona ambacho sisi hatuoni.
 
Back
Top Bottom