Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,760
- 6,320
Man U Vs West Ham..Acha utani wewe unaangalia mpira upi?
Garnacho leo ni machachari but si hatari
Man U Vs West Ham..Acha utani wewe unaangalia mpira upi?
Nadhani unamuona GarnachoAcha utani wewe unaangalia mpira upi?
Sawa si hatariMan U Vs West Ham..
Garnacho leo ni machachari but si hatari
Kulikuwa na Extra time. Leo mshindi lazimaAfadhali maana tumepunguza mechi ya marudio
Amepoteza nyingi sanaSawa si hatari
Skills zake zote hazikufanikiwa. Hapo ameokota dodo tuKuna mtu hapa alisema Garnacho anaruka ruka yaani kuna mashabiki wa ajabu sana.
3 - 1 tayariFurgie time.
Yule mwamba aliyetabiri score 3-1 aliyachungulia magoli vizuri, ni vile tu VAR haingii kabisa kwenye bahati nasibu.