Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Naombeni barua ya ETH baada ya mechi ya wembley
Hii hapa boss
Screenshot_20230228-224630_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224634_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224638_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224642_Instagram.jpg
 
Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,

Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.

Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..

Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
I second you bro
 
There is NO guarantee the Glazers will sell Manchester United. They have been underwhelmed by the value of the offers so far and the amount of them.

#JacobsBen
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230301_131256_614.jpg
 
Back
Top Bottom