SanaNadhani akatafute changamoto kwingine, amekuwa na mkosi sana hapo Utd.
Mbinu zake sizipendi kabisa..eti waanze watoto dakika ya 60 waingie wakubwa. Kwa nini wasianze wakubwa wakashinda mapema then wakaingia watoto. Ndio maana nilimpenda sana Mou.Ila we jamaa unajua kulalamika, maana kwako siku zote Ten Hag anakosea kikosi.
Relax. Let's trust the manager asee, kuna kitu anaona ambacho sisi hatuoni.
Utoto mwingi sanaHuyu antony kupiga cross hajui eeeh
Tayari tumepigwaIla we jamaa unajua kulalamika, maana kwako siku zote Ten Hag anakosea kikosi.
Relax. Let's trust the manager asee, kuna kitu anaona ambacho sisi hatuoni.
Tayari sasa ndio anaanza kuwaleta wakubwa huku tumefungwaMbinu zake sizipendi kabisa..eti waanze watoto dakika ya 60 waingie wakubwa. Kwa nini wasianze wakubwa wakashinda mapema then wakaingia watoto. Ndio maana nilimpenda sana Mou.
Nilisema mapema, hili kombe tumepishana nalo tayari.Sitashangaa tukipoteza hii game.
Tupo pamoja. Kill the game early and then relax.Baada ya kupigwa naona kocha anawaandaa rashford na martinez haraka haraka.Ujinga huu.
Huyo Mmorocco kajifunga.. AguerdWerghooooooooost
Refa ali kataa la casemiro, daah!
Acha utani wewe unaangalia mpira upi?Garnacho anarukaruka tu
Unaangalia mpira upi jombaa?Garnacho anarukaruka tu