Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag
"Leo tumeshinda taji la kwanza. Hii inatupa imani zaidi kwamba tunaweza kufanya zaidi."

"Bado tuko mwanzoni mwa kujaribu kuirejesha Manchester United"

"Nataka tu kushinda. Tuliwekeza tangu mwanzo wa msimu na wafanyakazi pamoja na wachezaji. Wako pamoja, pamoja na mashabiki. Kuna hamu na njaa ya mataji."
Screenshot_20230227_110555.jpg
Screenshot_20230227_110444.jpg
 
Wale ambao walikua wana doubt AWB qualities, mmeona Allan saint Maximin alivyoekwa Mfukoni? Mtu ambaye kamtesa sana Dalot imebidi atolewe baada ya kucheza dakika kadhaa na AWB.
AWB yuko vizuri kwenye kukaba ila hana akili ya mpira ,ni mtu wa kupoteza mipira sana kwenye gemu nyingi tu utulivu hana kabisa.
 
Bado kuna tatizo kubwa la uchoyo kule mbele ,kwa mechi za karibuni karibuni nafasi nyingi za magoli tumezipoteza kwa sababu ya ubinafsi wa wachezaji unakuta mtu mwenzake yupo katika nafasi nzuri zaidi ila anafosi ashinde yeye .
 
Back
Top Bottom