Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,282
- 10,054
Unaandika kama yeye, afu simuoni siku hizi jukwaani hapa.Hapana mkuu
Unaandika kama yeye, afu simuoni siku hizi jukwaani hapa.Hapana mkuu
Mbona kama kuna upinde kwenye picha ?Carabao Cup Finals shots
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
View attachment 2531184View attachment 2531182View attachment 2531185View attachment 2531183View attachment 2531186View attachment 2531188View attachment 2531189View attachment 2531187View attachment 2531190
Eneo lipi la kufanyia usajili mzuri ukiondoa striker ?Kwa huyu kocha kama tukisajili vizuri msimu ujao, naona tukienda kuwa tishio ulaya.
Atakuwa alishauza smartphone yuleUnaandika kama yeye, afu simuoni siku hizi jukwaani hapa.
PTER na FUENTTE wamefilisikaAtakuwa alishauza smartphone yule
Chiesa akija Utd kisha akawa hana bahati mbaya ya majeruhi kama huko aliko, basi tutakuwa hatushikiki.Targets za ETH ni frankie de Jong, chiesa, striker.
Midfield.Eneo lipi la kufanyia usajili mzuri ukiondoa striker ?
Ngoja tumuite alafu tuone @PTERAtakuwa alishauza smartphone yule
Kabsa yuko serious na goal, ana skills, anakaba na speed....kiukweli atafaa sana nadhan hela ikitolewa CHIESA anaweza kutua united.Chiesa akija Utd kisha akawa hana bahati mbaya ya majeruhi kama huko aliko, basi tutakuwa hatushikiki.
Yule dogo ni baller.
Ngumu..bora kupumzisha kwenye ligi, hii ni FA ukifungwa unaondoka na sisi hatutaki kuondoka.Yap.
Mechi ya West Ham inabidi apumzishe first eleven yote.
Bissaka ni mashine ya dunia ingine.Wale ambao walikua wana doubt AWB qualities, mmeona Allan saint Maximin alivyoekwa Mfukoni? Mtu ambaye kamtesa sana Dalot imebidi atolewe baada ya kucheza dakika kadhaa na AWB.
AWB yuko vizuri kwenye kukaba ila hana akili ya mpira ,ni mtu wa kupoteza mipira sana kwenye gemu nyingi tu utulivu hana kabisa.Wale ambao walikua wana doubt AWB qualities, mmeona Allan saint Maximin alivyoekwa Mfukoni? Mtu ambaye kamtesa sana Dalot imebidi atolewe baada ya kucheza dakika kadhaa na AWB.
Yap, kulingana na hali halisi sioni akipumzisha kikosi kizima.Ngumu..bora kupumzisha kwenye ligi, hii ni FA ukifungwa unaondoka na sisi hatutaki kuondoka.
Mawazo yangu tupate Midfielder wawili.Midfield.
Tukimkosa Casemiro tunatafutana.
Kwenye kukaba 1 against 1 ni noma sana. Amewahi kunikabia Rahim Sterling mpaka nikawa namuonea huruma.AWB yuko vizuri kwenye kukaba ila hana akili ya mpira ,ni mtu wa kupoteza mipira sana kwenye gemu nyingi tu utulivu hana kabisa.