Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

BREAKING:

Erik ten Hag has dismissed the prospect of holding an open top bus parade if his side win the Carabao Cup and will only consider sanctioning a mass celebration if they win two trophies this season. [@MattHughesDM]

THIS MAN

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hii nzuri yani tufanye parade kwenye Carabao tutachekwa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
United tamu jamani, dah
Dah, jana nilikua maporini nasikitika kuukosa huo utam.
Hapa nimeingia YouTube nimeangalia game hakika kwa sasa timu tunayo.

Kwangu mchezaji alie kuchafua zaidi ni mwamba Fred.
Ila naendelea kusisitiza, huo mzimu wa kizaramo hauna issue, ni bora kocha aliushtukia akautoa mapemaa la sivyo tungepoteza game hiyo.
 
Erik ten Hag on his ideas for Manchester United: "I like dynamic football. I don't want boring football - I like football that entertains people, playing with speed", #MUFC

"We love to face hostile atmospheres, to face big opponents... and keep them quiet".

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230224_132323_191.jpg
 
Back
Top Bottom