Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Sevilla wamejichokea tu msimu huu..Sevilla mwepesi, nimemuamgalia leo, kwetu sisi mweusi sana
Tutawapiga kama ngoma for sure.
Sevilla wamejichokea tu msimu huu..Sevilla mwepesi, nimemuamgalia leo, kwetu sisi mweusi sana
Malizia sisi ni nani?Msimu huu Barcelona ameruhusu magoli 7 tu ktk La Liga kati ya michezo 22. Tumeweka kamba 4 ndani ya michezo miwili.


All time Champs.Malizia sisi ni nani?![]()
No way on God’s green earth are we not winning the cup on Sunday, we are too good and have too much momentum. Sorry Newcastle.
Mnategemea nilale sasa hivi?.fvck.hapana..nakula bia mpaka asubuhi.
Juve or Roma next..sijali..nitajipigia tu

Ten Hag: "On Sunday we have a very big game. But.. a small beer is allowed tonight."Wewe kama nani?Huu msimu hambebi mndoo wowote
Casemiro akaona bora akae pembeniView attachment 2528004
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app




hatariMsimu huu Barcelona ameruhusu magoli 7 tu ktk La Liga kati ya michezo 22. Tumeweka kamba 4 ndani ya michezo miwili.
Mbaya zaidi hakuna mtu alitarajia hii big result kwa muda mfupi. Haya maono alikuanayo mwenyewe tu! I believe next season atapatiwa kilakitu, imani imeongezeka.Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.
Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.
Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.
Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Jamaa ni katili sana.Uyu jamaa anamwili mdogo lakini mkatili balaaa naona anaseli za Nemanja Vidic mTu kazi
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app