Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu mwamba anakupokea kama ulivokuja,ukarimu wake lazima usiage unapoondoka...🥹
255682872946_status_e28b200365a44bf4a57d294801df9053.jpg
 
No way on God’s green earth are we not winning the cup on Sunday, we are too good and have too much momentum. Sorry Newcastle.

Mnategemea nilale sasa hivi?.fvck.hapana..nakula bia mpaka asubuhi.

Juve or Roma next..sijali..nitajipigia tu
Ten Hag: "On Sunday we have a very big game. But.. a small beer is allowed tonight."
 
TEN HAG kabadilisha kabisa mambo huko, hongereni sana kwa ushindi
Man U nawachukia ila Barcelona zaidi. Bora mmewamaliza jana

TEN HAG akipata wachezaji wazuri zaidi Ufalme wa kipara utakuwa umefika ukingoni
 
Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
 
Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Mbaya zaidi hakuna mtu alitarajia hii big result kwa muda mfupi. Haya maono alikuanayo mwenyewe tu! I believe next season atapatiwa kilakitu, imani imeongezeka.
 
Back
Top Bottom