Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TEN HAG kabadilisha kabisa mambo huko, hongereni sana kwa ushindi
Man U nawachukia ila Barcelona zaidi. Bora mmewamaliza jana

TEN HAG akipata wachezaji wazuri zaidi Ufalme wa kipara utakuwa umefika ukingoni
 
Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
 
Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Mbaya zaidi hakuna mtu alitarajia hii big result kwa muda mfupi. Haya maono alikuanayo mwenyewe tu! I believe next season atapatiwa kilakitu, imani imeongezeka.
 
€1.4m will only get you one penalty. If you want more, pay more.

#DryJoKe

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2528014
How it was
20230224_074255.jpg
 
United na Barcelona recently wote wanastruggle kurudi kwenye glory days. Washed team imemshona washed team mwenzie and fans forget where are they really.

Merde
Hivi shabiki wa Arsenal anapata wapi nguvu ya kutoa kauli kama??

Arsenal fan, unatoa banter kama hii kwa Man Utd na Barca? Waseme wengine sio wewe.
 
Lisandro Martinez's game by numbers vs. Barcelona:

70% duel win rate
63 touches
35 passes completed
5/9 long balls completed
4 clearances
4/5 tackles won

Leaving Old Trafford with Lewandowski in his back pocket.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2528013
Huyu jama "the butcher" ni beki kisiki kweli kweli.
 
Back
Top Bottom