




"Piga mbele" ndiyo mpira unaoutaka ?Huu mtindo wa kurudisha mpira Kwa kipa unatugharimu sana
Sioni goli Man U akipata
Mpaka dakika hii ya 10 yule DALOT akatafute timu ya kwenda, au aishie huko huko bench. Huyu Bissaka noma sana.
Mpaka dakika hii ya 10 yule DALOT akatafute timu ya kwenda, au aishie huko huko bench. Huyu Bissaka noma sana.
Mpaka Sevilla atokeAliyeshinda leo ana nafasi kubwa ya kubeba hii ndoo
Hivi mechi umeangalia?!"Piga mbele" ndiyo mpira unaoutaka ?
Kuna wachezaji wengi tu wenye uwezo kama yeye au kumzidi yeye kwenye eneo hilo
Kale ka De Jong kametulia sana, nafikiri bado tunamhitaji pale kati.
YesHivi mechi umeangalia?!
Si uitaje tuu hiyo timu kuwa ni Man UtdAliyeshinda leo ana nafasi kubwa ya kubeba hii ndoo

