Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 718
- 1,383
Upo wapi mkuu?Da tanesco wameukata umeme
Upo wapi mkuu?Da tanesco wameukata umeme
Wewe mjinga una shida na Fred. Kati ya Fred na Casemiro nani kapiga sana kazi hapo kati mda mpaka saa hii?Hii combination pale kati , barca wanamiliki dimba kati, itabidinfred apungue
MabiboUpo wapi mkuu?
Mkuu we unaangalia mechi gani iyo ambayo Man U hamiliki mpiraHi timu kumiliki mpira haijui Cha ajabu mashabiki wake wanalalamika eti wamezidiwa Kati
Hi timu inasubiri miujiza ya rashidi na iwe inshallah otherwise majanga
Nyingi tu Moja wapo hii ya barcelonaMkuu we unaangalia mechi gani iyo ambayo Man U hamiliki mpira
Mkuu hii game iko wazi sana ni makosa madogo madogo tu bado tunayo nafasi ya kushindaNyingi tu Moja wapo hii ya barcelona
YupoHivi sabitzer yuko sub?
Werghost ndo ilikua sub ya kuanza nayoWerghost out....Antony in
Kocha bhana toa Sancho hajawahi kuwa tishio kabisa huyu hasa akianza.