buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof
Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.
Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.
Why hawamfikirii facudo
- Antony Santos, Harry Maguire and Martial not in the squad but Mctominay is back 


