Huo upande ulikuwa una wahuni wanaitwa Rafael na Neville kwa nyakati tofauti hao ndio wali-fit sana.Huo upande ni shida ,akianza mmoja huchelewi kumkumbuka mwenzie wa bechi na kuona afadhali angeanza yeye siku naye wa benchi akianza utaona ni takataka kabisa..
Usikimbie na kichupi mkononi tu, pindi mabingwa wa tarajiwa tutakapo mfanya kitu mbaya Leicester city
Mimi ananiudhi kupenda kubutua hovyo kila mara na kusababisha mipira ipotee kama hilo aliookoa Lindelof now alibutua wakati kuna mabeki karibu.Duh, Ahsante Degea.
Kibanda kilikua kinaungua hiki.
Timu mbovuMbona uzembe mwingi hapa.
Timu mbovuTunaruhusu kushambuliwa sana
Naona pimbi Anthony siku hizi anakula benchi tuKwa mala nyingine Degea anaokoa jahazi.
Tukiacha masihara, jamaa wanatusachi kila mfuko, bado kuingia dosho tu wachukue machenji.
Kwa mala nyingine Degea anaokoa jahazi.
Tukiacha masihara, jamaa wanatusachi kila mfuko, bado kuingia dosho tu wachukue machenji.






