Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20230219_172714_All%20Goals.jpg
 
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof

Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.

Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.

Why hawamfikirii facudo
Pale nyuma kuna msindikizaji mzuri kama Shaw?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom