Njoo tena utoe updates..Hii ni timu au ni KUNDI LA WALANGUZI????
sioni wanachofanya uwanjani hapa
Ni majeruhi.Naona pimbi Anthony siku hizi anakula benchi tu
Ona chawi hiliIt won’t take long b4 they level


Mwamba ni majeruhi.Naona pimbi Anthony siku hizi anakula benchi tu
Pale nyuma kuna msindikizaji mzuri kama Shaw?Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof
Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.
Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.
Why hawamfikirii facudo