Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .Mpeni sifa zake tuu jamaa anapambana ila kafunga goli gumu kwel
Rashford akituliza mawenge ni bonge la player wa kiwango cha juu kabisa aana kila kitu mguuni kwake tena sasa anvyofunga confidence inazidi kuongezeka..Mbappe umfananishe na rashford
Mamaaae washabiki mna majibu ya kikuma.UMejibiwa na upuuzi wa Bisaka
Jamaa hata anasaidia kukaba hata hivyo mimi nina natumaini makubwa pale bado hatujapigwa hata kidogo ila ushirikiano mdogo anapata uwanjani.Weghost amuongezee mganga wake malipo maana sio kwa kumpumbaza hvyo Ten Haag
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Gemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..Ukiingia YouTube nadhani highlight ndogo kabisa kwa hii gemu ni dk 40
Ngoja aje OT kwetu bila gavi😁na mtoto mwenzieYani Barcelona tunaweza sema wamekwisha yani the butcher hakuwepo na wajatupiga goal za kutosha tuonane mashindano mengine Fc Barcelona.
Angalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..Karibu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
sina shaka na Udoctor wakeKwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
Hii gemu nitaitafuta niweke kwenye pc kabisaaGemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..
Kama Ten hag anamuamin... just trust the process tuu ndo hivi hivi tunaendaAngalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
ingekuwa tumeanza Ot wangekujaUzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika natumaini wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
Wewe ni Ke?Barca tunakusubiri Old Trafford
Una chuki na Rashford.Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.