Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
sina shaka na Udoctor wake
 
Uzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika nauhakika wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
 
Angalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Kama Ten hag anamuamin... just trust the process tuu ndo hivi hivi tunaenda
 
Uzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika natumaini wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
ingekuwa tumeanza Ot wangekuja
 
Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
 
Rashford akituliza mawenge ni bonge la player wa kiwango cha juu kabisa aana kila kitu mguuni kwake tena sasa anvyofunga confidence inazidi kuongezeka..
Hamna kitu mule, kuna mwana yeye ni Liverpool tangu wakati rashford anaingia ingia kwenye kikosi mm nilikuwa namkubali sana ila jamaa akawa ananiambia hamna kitu mule nikawa nambishia, kwasasa nakubaliana naye 100% na ndiyo maana hata national team anaingia kibahati bahati tu Southgate keshamstukia.
 
Jamaa hata anasaidia kukaba hata hivyo mimi nina natumaini makubwa pale bado hatujapigwa hata kidogo ila ushirikiano mdogo anapata uwanjani.
Waarabu wakichukua timu hiyo takataka haikai hata benchi.
 
Gemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..
Mechi mbovu sana ya leo, ilikuwa na makosa mengi mnoo ya kiufundi, wachezaji hawakuwa na umakini, wachezaji wa pande zote mbili. Yani mechi za NBC ni nzuri kuliko mechi ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…