The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kipindi cha kwanza kimejaa makosa kwa pande zote mbili.
Haya matokeo ni ya playstation au reality
Na mpaka sasa kafanikiwaTen Hag: “We will press them [Barcelona] high if possible. When we have the ball, we have to let them [#mufc players] run – we have players in our team who are able to play [like that], so we have to let them play.” [BT Sport]
Salute mkuu nakupa salute na nakuomba kama ni mwanaume unioeNa mpaka sasa kafanikiwa
Salute mkuu nakupa salute na nakuomba kama ni mwanaume unioe


nini hiii!!!!Kwa sababu hujui mpira, Man United wanajitahidi kiwa narrow kwenye defence ili kupunguza through balls kwenda kwa Lewandoski na kudhibiti mikimbio ya kina Rafinha.Sijawahi kuona beki ya kulia inachezwa kama hivi.
Sancho anasoka laini mno mpaka sasa bado hayupo fiti kabisa..Antony si mlikua mnamuona falafala tu.
Ila mnajua Sana kutetea wachezaji wenu...mnasema Anthony uwepo wake unafanya timu pinzani isipande,mara weghorst anawatisha mabeki.... Haya ndo majukumu Yao muhimu yaliofanywa wakasajiliwa.?.. aisee tutasikia mengiMkuu huyo jamaa uwepo wake hapo mbele unawatisha mabeki.
Akae tu hapo hapo.
Kuna siku akikosekana utatamani awepo.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app


