Sub aina kitu mkuu garnacho ni wa kutokea sub tu umeiona sub aina wachezaji wa maana kabisa.Last match Sancho katucheleweshea ushindi naona leo kamuanzisha tena. Huyu kocha kichwa ngumu sana.View attachment 2519631
Garnacho hajawahi kuanza mechi akacheza vizuri..Last match Sancho katucheleweshea ushindi naona leo kamuanzisha tena. Huyu kocha kichwa ngumu sana.View attachment 2519631
Mkuu huyo jamaa uwepo wake hapo mbele unawatisha mabeki.Weghorst labda acheze nyuma ya Rashford..tofauti na hapo ni same story tu...Na hili naona litakuwa gumu coz sioni EtH akimpeleka Fernandes kulia.
Najisikia furaha sana baada ya kuisoma hii habari kule twitter.Wengine mzuka wa mechi ushakata....
Tunajiandaa kwenda dukani kununua kanzu na hidhrani
View attachment 2519645
Kuna haters wamepeleka malalamiko FIFA
Kawafukuzisha kazi makocha wengi, huyu bahati yake kastuka mapema.Ila maisha yanabadilika fasta sana aisee..
Maguire haamini anavyokuwa bench warmer sasa hivi.
Kweli..sub hakuna mtu kabisaSub aina kitu mkuu garnacho ni wa kutokea sub tu umeiona sub aina wachezaji wa maana kabisa.
NgumuGOAL: WEGHORST
ASSIST: SANCHO
Tunatest mitambo.
Ile game ya Arsenal alivyotolewa ule upande kisha akaingizwa Fred team iliyumba, mpaka baadar sana alipokuja kumuweka Garnacho.Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238