Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Weghorst labda acheze nyuma ya Rashford..tofauti na hapo ni same story tu...Na hili naona litakuwa gumu coz sioni EtH akimpeleka Fernandes kulia.
Mkuu huyo jamaa uwepo wake hapo mbele unawatisha mabeki.

Akae tu hapo hapo.

Kuna siku akikosekana utatamani awepo.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20230216-201424_Samsung Internet.jpg
 
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Ile game ya Arsenal alivyotolewa ule upande kisha akaingizwa Fred team iliyumba, mpaka baadar sana alipokuja kumuweka Garnacho.

Antony ana umuhimu wake..
 
Back
Top Bottom