Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#GGMU

Barca anafungika tukiingia na mkakati mzuri,,,,


Beki zake Sina matobo recently !!!
Labda Barca ya kijijini kwenu sitimbi.

Amini amini nakuambia kwa ukuta wa Araujo(father of Vini Jr),Jules kounde Christensen Barca akikutangulia tu kupata goli andika umeumia.

Siku hizi mpaka Lewa anapiga tackle za kutosha.
 
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.

Watu wengi sana wanamhukumu kwa ile price tag tuliyolipa Ajax kwa uzembe wa watendaji wakuu wa timu pamoja na bodi walifanya timing mbovu sokoni. Muda mwingi wali-focus kwa De Jong muda tunaenda Ajax tayari walikuwa wameuza wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza na hawakuwa tayari kumuuza, we forced them to strike the deal.
 
Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.

Watu wengi sana wanamhukumu kwa ile price tag tuliyolipa Ajax kwa uzembe wa watendaji wakuu wa timu pamoja na bodi walifanya timing mbovu sokoni. Muda mwingi wali-focus kwa De Jong muda tunaenda Ajax tayari walikuwa wameuza wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza na hawakuwa tayari kumuuza, we forced them to strike the deal.
EtH angemuacha Anthony uwanjani ile game ya Arsenal tungetoka na kitu.
 
Our starting line up
Screenshot_20230216_193422_Instagram.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Waarabu wanakuja kwa kasi. Kesho inasemekana ndiyo ilikuwa mwisho wa ku-bid kwenye deal la kuinunua United sasa huko Twitter naona tweets za kiarabu tu na picha za United zikitembea kutoka kwa watu/vyanzo vya karibu huko Qatar.

"Today I feel Qatari." 🇶🇦
 
Weghorst labda acheze nyuma ya Rashford..tofauti na hapo ni same story tu...Na hili naona litakuwa gumu coz sioni EtH akimpeleka Fernandes kulia.
Mkuu huyo jamaa uwepo wake hapo mbele unawatisha mabeki.

Akae tu hapo hapo.

Kuna siku akikosekana utatamani awepo.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom