Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game Kama hii tunammiss Sana Anthony,,,,

Ule upande anafosi Sana hatushambuliwi kizembe ,,,,

Wacha tuone ETh atakuja na mpango mkakati wa Aina gani !
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu.
Screenshot_20230117_155817.jpg
 
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
😂 Wataanza kuelewa sasa maana kuna mashabiki wao ni stats tu mpira hawaangalii.
 
Leo pale CAMP NOU nitaangalia mechi nikijiamini maana kocha la mpira lipo bench. Ila ile atmosphere ya pale siyo mchezo plus kikosi walichonacho Barca siyo mechi ya kizembe kabisa.

Hizi ndiyo aina ya mechi tunahitaji vijana wetu waweze kukomaa kiuzoefu na kiakili. Experience ya kucheza Camp Nou tena against Barca ni bahati sana kwetu aina ya hizi timu unakutana nazo kwenye UCL tena hatua za Semis.

Vijana wakiweza kucheza kwa kutulia leo itatusaidia kuelekea mchezo wetu wa fainali vs Newcastle maana leo uwanja mzima utakuwa against us ila Wembley tutakuwa na mashabiki wetu.

#GGMU
 
#GGMU

Barca anafungika tukiingia na mkakati mzuri,,,,


Beki zake Sina matobo recently !!!
Labda Barca ya kijijini kwenu sitimbi.

Amini amini nakuambia kwa ukuta wa Araujo(father of Vini Jr),Jules kounde Christensen Barca akikutangulia tu kupata goli andika umeumia.

Siku hizi mpaka Lewa anapiga tackle za kutosha.
 
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.

Watu wengi sana wanamhukumu kwa ile price tag tuliyolipa Ajax kwa uzembe wa watendaji wakuu wa timu pamoja na bodi walifanya timing mbovu sokoni. Muda mwingi wali-focus kwa De Jong muda tunaenda Ajax tayari walikuwa wameuza wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza na hawakuwa tayari kumuuza, we forced them to strike the deal.
 
Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.

Watu wengi sana wanamhukumu kwa ile price tag tuliyolipa Ajax kwa uzembe wa watendaji wakuu wa timu pamoja na bodi walifanya timing mbovu sokoni. Muda mwingi wali-focus kwa De Jong muda tunaenda Ajax tayari walikuwa wameuza wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza na hawakuwa tayari kumuuza, we forced them to strike the deal.
EtH angemuacha Anthony uwanjani ile game ya Arsenal tungetoka na kitu.
 
Back
Top Bottom