Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Na hamuupatiWe kuku maji tulia.
Mtu upo nafasi ya 10 unakuja kupiga kelele kwa wafukuzia ubingwa?
Mtaishia kuufukuza tu
Na hamuupatiWe kuku maji tulia.
Mtu upo nafasi ya 10 unakuja kupiga kelele kwa wafukuzia ubingwa?
Hii kwetu ni baraka, Shaw na Varane watasimama wakilindwa kwa juu na Casemiro.Martinez game ya Barcelona kwanza hata hachezi..ana ban.
Bongo vipi?Siku hizi timu nyingi za ulaya zinajenga mashambulizi kwa kutumia wachezaji watatu nyuma.
Sisi 3-1-6, 3-3-1-3,
Bongo muulize DEJAN7Bongo vipi?
Au ni butua butua
Ila maneno mengi ndio maana sijawahi pick hizi timu mbili tulizonazo, kama hawapo serious kabisa.Bongo muulize DEJAN7
Niliangalia mechi ya simba na prison nikaduwaa....
Space kati ya mchezaji mmoja hadi mwengine ni kubwa sanaaaaa.
Mpira wa tanzania ni rahisi sana kucheza
Ndio kwa uelewa wangWakuu nina swali kidogo.
Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Hapana kununua club means unanunua kikosi cha kwanza chote na kocha tuWakuu nina swali kidogo.
Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Bahili uyu, sidhani.
Huwa tunasema "anataka aongezewe maslahi huko alipo"
Nafikiri ni ishu ya manunuzi ya klabu ya manchester united.Huwa tunasema "anataka aongezewe maslahi huko alipo"
Ubovu upi unaouzungumzia?Werghost ni mbovu tu.
Hakuna cha kunyimwa pasi wala nini.
Tena bola kipindi cha pili alipo badilishwa posession kidogo nilimuona.
Ipige tu mbele itakutana na mtu hahahBongo vipi?
Au ni butua butua