buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,109
Ila maneno mengi ndio maana sijawahi pick hizi timu mbili tulizonazo, kama hawapo serious kabisa.Bongo muulize DEJAN7
Niliangalia mechi ya simba na prison nikaduwaa....
Space kati ya mchezaji mmoja hadi mwengine ni kubwa sanaaaaa.
Mpira wa tanzania ni rahisi sana kucheza
Labda kimataifa kuunga mkono wapeperusha bendera.