Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martinez game ya Barcelona kwanza hata hachezi..ana ban.
Hii kwetu ni baraka, Shaw na Varane watasimama wakilindwa kwa juu na Casemiro.

Kwa nn ni baraka? J'pili tuna mechi vs Leicester tunahitaji sana wachezaji wasiopungua 4 ambao watakuwa na freshness ya mapumziko ya wiki nzima. Lisandro na Sabitzer tayari watabaki hawasafiri na timu.

Unakumbuka mchezo dhidi ya Aston Villa kabla ya WC? Tulifungwa kwa uchovu wa kucheza na Real Sociedad timu ilifanya training session moja tu huko huko Spain wakapanda ndege straight mpaka Birmingham bila kupumzika wakaingia uwanjani.
 
Screenshot_20230213-174944_Instagram.jpg
 
Bongo muulize DEJAN7
Niliangalia mechi ya simba na prison nikaduwaa....

Space kati ya mchezaji mmoja hadi mwengine ni kubwa sanaaaaa.

Mpira wa tanzania ni rahisi sana kucheza
Ila maneno mengi ndio maana sijawahi pick hizi timu mbili tulizonazo, kama hawapo serious kabisa.

Labda kimataifa kuunga mkono wapeperusha bendera.
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Ndio kwa uelewa wang
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Hapana kununua club means unanunua kikosi cha kwanza chote na kocha tu
 
Back
Top Bottom