Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bongo muulize DEJAN7
Niliangalia mechi ya simba na prison nikaduwaa....

Space kati ya mchezaji mmoja hadi mwengine ni kubwa sanaaaaa.

Mpira wa tanzania ni rahisi sana kucheza
Ila maneno mengi ndio maana sijawahi pick hizi timu mbili tulizonazo, kama hawapo serious kabisa.

Labda kimataifa kuunga mkono wapeperusha bendera.
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Ndio kwa uelewa wang
 
Wakuu nina swali kidogo.

Ivi tajiri akitokea Akanunua club ya Mpira wa miguu. mfano kainunua Man united, Kila kitu kinachohusiana na man united kinakuwa ni Mali yake?. mfano viwanja vya mazoezi na vya MECHI( CARRINGTON na OT) navyo vinakuwa ni Mali yake?.
Hapana kununua club means unanunua kikosi cha kwanza chote na kocha tu
 
1676452916148.png


Wazee wa insta, mbappe anajua kiingilishi?
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Mashabiki wapendwa wa chama kubwa duniani Manchester United, narudia kuweka komenti hii kwa Mara nyingine tena.

Huku nikisema licha ya baadhi ya injury za wachezaji wetu na ratiba ngumu ya mechi zijazo, Bado ipo Imani ya kufanya makubwa katika msimu huu.
 
Back
Top Bottom