Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Mashabiki wapendwa wa chama kubwa duniani Manchester United, narudia kuweka komenti hii kwa Mara nyingine tena.

Huku nikisema licha ya baadhi ya injury za wachezaji wetu na ratiba ngumu ya mechi zijazo, Bado ipo Imani ya kufanya makubwa katika msimu huu.
 
Arsenal iliyo na msimu bora kabisa imeizidi pointi 5 manchester united iliyo na msimu mbaya baada ya michezo 23 ya ligi!

Sasa wale watoto wa arsenal wanaanza kuuona ukweli uliokuwa ukisemwa mara kwa mara na mashabiki wenye kuujua mpira.
 
Hii goli difference itatufanya tukose ubingwa
Screenshot_20230216-082401_FotMob.jpg
 
Arsenal iliyo na msimu bora kabisa imeizidi pointi 5 manchester united iliyo na msimu mbaya baada ya michezo 23 ya ligi!

Sasa wale watoto wa arsenal wanaanza kuuona ukweli uliokuwa ukisemwa mara kwa mara na mashabiki wenye kuujua mpira.
Siku zote Kuna watu mna akili Sana ya Mpira Mkuu.. nilisema hapa, asernal ajipa matumaini kuongoza ligi si kushinda kombe. Kitofunhwa mechi 20s na kitu si kutokufungwakabisa.

Huwez kuwalinganisha watoto na kaka zao. Kocha mwenye akili hatumii watoto peke Yao.. baadae punzi huisha.
 
Back
Top Bottom