Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Vipi mmeshinda ?Unyumbu, hesabu nyingi sana,, kama mko serious vile ila wakat wenu unakuja,
Vipi mmeshinda ?Unyumbu, hesabu nyingi sana,, kama mko serious vile ila wakat wenu unakuja,
Tumepigwa,, sasa ndio tunaanz ligi rasmiVipi mmeshinda ?
Tofauti yetu na mtu wa 5 ni alama 7!Game ya city na arsenal Ni muhimu kwetu,,,,
Matokeo yake yataonyesha uhalisia wa utd kujihakikishia top 4 !
City ashinde au itoke droo
Kiporo kingine cha Man city mtafungwaTumepigwa,, sasa ndio tunaanz ligi rasmi
Siku zote Kuna watu mna akili Sana ya Mpira Mkuu.. nilisema hapa, asernal ajipa matumaini kuongoza ligi si kushinda kombe. Kitofunhwa mechi 20s na kitu si kutokufungwakabisa.Arsenal iliyo na msimu bora kabisa imeizidi pointi 5 manchester united iliyo na msimu mbaya baada ya michezo 23 ya ligi!
Sasa wale watoto wa arsenal wanaanza kuuona ukweli uliokuwa ukisemwa mara kwa mara na mashabiki wenye kuujua mpira.
Bado mapema mkuu.Tofauti yetu na mtu wa 5 ni alama 7!
Newcastle mechi zake mbili zijazo ni L'pool na City. Tottenham mechi zake mbili zijazo ni West Ham na Chelsea.
Top four??Bado mapema mkuu.
Bingwa Ili aajihakikishie awe na point 70 otherwise bado tupo kwenye title race.
Kuhusu top four. Itategemea na kupoteza na kudroo hovyohovyo
Tuko pazuri,,,,tupambane,,,,Tofauti yetu na mtu wa 5 ni alama 7!
Newcastle mechi zake mbili zijazo ni L'pool na City. Tottenham mechi zake mbili zijazo ni West Ham na Chelsea.
Game Kama hii tunammiss Sana Anthony,,,,Matchday...GGMU
=====
My Starting XI vs Barcelona
=====
De Gea
AWB Varane Shaw Malacia
Fred Casemiro Fernandes
Pellistri Rashford Sancho
=======
Najikuta namuombea huruma.