Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leed tumemalizana naye. We are there already.


We are fine
 
Ajax kama wanahisi tumewapunja pesa kwa EtH na Martinez wakate kwenye pesa ya Antony.

Hatujapigwa wazee, sisi ndiyo tumewapiga Ajax. Next summer turudi tena Amsterdam kuna watu wetu pale. 😁

de Jong usajili wake tunamaliza tukienda Camp Nou.
 
Wewe ni mchawi nini?
 
Wachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.

Antonio martial injury

Antony do Santos injury

Lisandro Martinez yellow card

Marcel sabitzer yellow card

Christian ericksen injury

Scott McTominay injury

Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
 
Sababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…