Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ajax kama wanahisi tumewapunja pesa kwa EtH na Martinez wakate kwenye pesa ya Antony.

Hatujapigwa wazee, sisi ndiyo tumewapiga Ajax. Next summer turudi tena Amsterdam kuna watu wetu pale. 😁

de Jong usajili wake tunamaliza tukienda Camp Nou.
 
Wewe ni mchawi nini? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.

Antonio martial injury

Antony do Santos injury

Lisandro Martinez yellow card

Marcel sabitzer yellow card

Christian ericksen injury

Scott McTominay injury

Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
 
Sababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.
 
Sababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.View attachment 2515698
Kazi ipo na mwamba anaubonda haswa napenda anavyofosi kupiga mashuti golini...kwaio hii game ya barca tusitarajie makubwa kwani tuko na hali ya hatari kidogo

No Ericksen
No Case
No Sabi

Mmh tusitarajie makubwa waisa kwa barca hii inayofosi magoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…