Kuna siku nilisema huyi kocha ni "mjinga" watu wakanijia juu. Kuna mtu angeweza kuhisi Maguire, Dalot, Whergost wataanza leo?Akianza leo itabidi nimvunjie heshima EtH kwa kumtukana kidogo..
Sure..una akili sana. Kwa kiwango cha Bissaka Dalot alitakiwa aozee benchi.Malacia wale vijanq hawawezi, atakuwa anateleza lakini hawafikii. Dalot na Malacia hawana uwezo wa kukaba.
Ningependa tumwamini Fred na Sabtzer pale kati. Shaw abaki sehemu yake, Bisaka arejeshwe sehemu yake. Sacho arudi kwa Garnacho.
Mechi ya juzi weak point ilikuwa Dalot na siyo Fred
Watu wachawi sana.Nileteeni harry maguire....
Nasema nireteeni maguiree
Hakunaga akili hiyo..shinda kilichoko mbele yako huko mbele itajulikana. Yaani Varane na Martinez 'the butcher' wako benchi?Tuna michezo mingi mbele,,,, lazima baadhi ya nafasi muhimu zifanyiwe rotation
uwe na kumbukumbu risiti yako hii hapa haujatimiza ahadi yako Kenge maji weweView attachment 2514529
Kila la kheri Leeds united
MANYUMBU MISUKULE Mkipata hata droo Nipigwe BAN LA MWAKA
Kikosi kilivuja tokea saa 9 mchana,Watu wachawi sana.
Aaah! Leo sijapita sana Twitter sikuona. Ngoja tuone leo tunatokaje.Kikosi kilivuja tokea saa 9 mchana,
- Nilishajua luke shaw na maguire wanaanza beki wa kati
- Sabitzer na fred eneo la midfield.
- Wala si uchawi brother
Cheki lichawi hiliOops should be 1-0, Summerville