Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuriNiliangalia, ntasemaje tuliupiga mwingi kama sijauona shida yetu makosa madogo madogo yakafanya tupigwe ndoige za mapema/upande wa dalot na kati pale kkwa fred.
Natofautisha pira la rangnick la hovyo na hili tunalopiga sahizi.
Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuri
Fred jana watu walitumia udhaifu wake... kumchezesha fred na sabitzer ni kama kuchezesha fred watatu uwanjani..Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.
Mkuu wewe ni nataka kusema tu ni msenge na ujui ushabiki unaona ushabiki ni kuongea kauli chafu.Mmevunja Rekodi kwa kuwa wa kwanza KUBONG'OLEWA NA KUKOJOZWA mapema sana tangu Ligi ianze
MLIKOJOZWA dakika ya kwanza,yaani hata Goli la fastafasta huwa haliji haraka vile,nyie ni MANYUMBU tuMkuu wewe ni nataka kusema tu ni msenge na ujui ushabiki unaona ushabiki ni kuongea kauli chafu.
Mkuu nadhani hii ndo itakuwa post yangu ya mwisho kuiona siwezi endelea kujadiliana na mtu mshamba na mpumbavu bye bye.MLIKOJOZWA dakika ya kwanza,yaani hata Goli la fastafasta huwa haliji haraka vile,nyie ni MANYUMBU tu
Hii inaonesha ni kiasi gani timu imekua aisee.. pamoja na kua goli mbili nyuma bado walikua mchezoni.Kurudisha goli mbili sio kazi ndogo......
Mkuu wewe ni nataka kusema tu ni msenge na ujui ushabiki unaona ushabiki ni kuongea kauli chafu.
Malaya wa uwanja wa fisi wewe 😂
Tunahitaji squad depth hasa zile key areas kama midfield.
Hii timu yetu tukubali tukatae, ni Casemiro na Eriksen. Bila hawa watu wawili tutapata tabu sana.
Tunahitaji squad depth hasa zile key areas kama midfield.
Nakwazika sana kutegemea mchezaji mmoja kwa kila nafasi. Kwamba asipokuwepo kunakuwa na pengo.
Mkuu, achana nae, huyo ni malaya ndoige, inabidi kumvumilia pumbavu yeye!!Mkuu nadhani hii ndo itakuwa post yangu ya mwisho kuiona siwezi endelea kujadiliana na mtu mshamba na mpumbavu bye bye.
Ni mzuri akianzia bench.Fred jana watu walitumia udhaifu wake... kumchezesha fred na sabitzer ni kama kuchezesha fred watatu uwanjani..
Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.Sema jana tuliupiga mwingi sana hayo mengine makosa ya kawaida tu tulishindwa wenyewe kuua game kwa nafasi tulizopata.
Muhimu tuna uwezo wa kurudisha goal wakitutangulia sio kipindi cha rangnick tukiwekwa tu goal ujue nitolee io.
We mbona umefumuliwa malinda na Everton, nasisi tumetulia kimya tu kama hakijatokea kitu, unadhani hatuna habar yako?Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.
Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.
Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!
Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
Hatukatai kama ni wabovu, sema kuna game na game wanakua vizuri ndio kama jana, waliipania ile game na wakatushangaza kweli.Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.
Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.
Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!
Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
Jana ngapi ngapi mkuu?City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu