Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
Hakufanya vizuri Bayern,,,,

Majeruhi yalimuandama Sana msimu uliopita ,,, alivyorudi akawa anastruggle kupata namba ya kudumu !!!!

Akiwa na makali Yale akiwa leizpg tumelamba dume, atatusaidia sana !

Ana mkataba na Bayern Hadi 2025, jamaa bado wanaona ana potential ndio maana kwenye mkataba wenu la mkopo hakuna kipengele Cha kumnunua mwishoni mwa msimu!

Ngoja tuone EtH atakavyomtumia na role atakazompa, kila kocha ana maono na mifumo Yale kulingana na mjezaji husika !
 
Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
Hizo free kicks zake zimenifanya nimkumbuke Juninho Pernambucano wa kipindi kile Lyon inasumbua miaka 7 mfululizo kwenye ligi kuu ya Ufaransa.
Binafsi mimi hua ni mpenzi sana wa magoli ya nje ya box.
 
Pamoja Mkuu, ila lile jukwaa lenu ni changamoto sana aiseeee, kuna vichwa mule vimevurugwa hatari, kuna watu mule walikua kila kukicha kumlalamikia Lukonga kua hafai ila baada ya kutolewa kwa mkopo haohao wanalalamika tena kwa nini Lukonga anaondoka wakati Elneny ni majeruhi
kwani hili jukwaa la arsenal la mau u au la wanasport wote mbona arsena8 mnatuvuruga
 
Tuanzebe - stoke city kwa mkopo
1675251577689.png
 
Hili Dili la Marcel Sabitzer naona limeenda Chap.

Changes zilizofanyika kwa upande wa recruitment team. Sasa zimeanza kuonekana.
Inasemwa jamaa alikuwa tayari kwenye vitabu vya United.
Injuries ya Erikseen ilivyojulikana tuu. Waya ukavutwa.

Ngoja tuone Summer itakuwaje..

Tetesi( Samuel Luckhurst) zinasema tutasajili,

New GK
Younger Midfielder
Striker
 
Back
Top Bottom