Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hamna mimi nilikua upande wako, tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewe




