Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Yani bahati yetu Sancho arudi vizuri, ndo mtu pekee ambaye Angalau anaweza kaa mbele incase Bruno anapewa role ya Eriksen, Sancho ana creativity.Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
?





