Hahaha sio vizuri kuombea mabaya wachezaji wetu bhana kasoro Harry Maguire.Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Hahaha sio vizuri kuombea mabaya wachezaji wetu bhana kasoro Harry Maguire.Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Upo sawa kweli, jibu lako ni tafsiri ya utu wako, unasafari ndefu kuufikia utu wako wenye hekima.Punguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nn?



Good signingDone Deal here we go lakini kwa makubaliano ya mkopo na jamaa wajaweka kipengele cha kuuzwa moja kwa moja kwaiyo hata jamaa ang'ae vipi lazima haludi Bayern tu.View attachment 2501883
nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.


tuna fan base ya ajabu sana
Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewenyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
Kuna vitu vingi Sabitzer ataviongeza kwenye kikosi chetu.Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
Dominick kila msimu anaongezeka ubora kuna siku Bayern watamchukua tuUli-cross kichwani kwangu baada ya kuona jina Sabitzer nakumbuka ulitaja sana jina lake kipindi cha nyuma. Dominik Szoboszlai ni ndoto yangu kumuona siku moja akivaa uzi wa United ana akili nyingi sana uwanjani.
Ikiwa kweli tutanenepa.Sabitzer to UNITED!![]()
Fred aumie??..like serious??Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Hamna mimi nilikua upande wako, tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewe
Hamna tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.

dahKwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?




Nisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana JanaKwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?
Yaani nakussuport halafu badala yake wewe unaniwashia moto![]()
Pamoja Mkuu, ila lile jukwaa lenu ni changamoto sana aiseeee, kuna vichwa mule vimevurugwa hatari, kuna watu mule walikua kila kukicha kumlalamikia Lukonga kua hafai ila baada ya kutolewa kwa mkopo haohao wanalalamika tena kwa nini Lukonga anaondoka wakati Elneny ni majeruhiNisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana Jana





Kuna watu sijui mpira wanaangaliaje,,,,,Fred aumie??..like serious??
Fred ni mtu muhimu sana kwenye hiki kikosi cha EtH.