Kuna vitu vingi Sabitzer ataviongeza kwenye kikosi chetu.Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
Dominick kila msimu anaongezeka ubora kuna siku Bayern watamchukua tuUli-cross kichwani kwangu baada ya kuona jina Sabitzer nakumbuka ulitaja sana jina lake kipindi cha nyuma. Dominik Szoboszlai ni ndoto yangu kumuona siku moja akivaa uzi wa United ana akili nyingi sana uwanjani.
Ikiwa kweli tutanenepa.Sabitzer to UNITED! [emoji574]
Fred aumie??..like serious??Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Hamna mimi nilikua upande wako, tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewe
[emoji1787][emoji1787] dahHamna tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.
Kwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?[emoji1787][emoji1787] dah
Nisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana JanaKwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?
Yaani nakussuport halafu badala yake wewe unaniwashia moto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja Mkuu, ila lile jukwaa lenu ni changamoto sana aiseeee, kuna vichwa mule vimevurugwa hatari, kuna watu mule walikua kila kukicha kumlalamikia Lukonga kua hafai ila baada ya kutolewa kwa mkopo haohao wanalalamika tena kwa nini Lukonga anaondoka wakati Elneny ni majeruhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana Jana
Kuna watu sijui mpira wanaangaliaje,,,,,Fred aumie??..like serious??
Fred ni mtu muhimu sana kwenye hiki kikosi cha EtH.
Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.Kuna vitu vingi Sabitzer ataviongeza kwenye kikosi chetu.
Physicality ni ball career mzuri tu, long range goals ni free kick speciality, anakaba sana lakini pia ni press resistant.
Hakufanya vizuri Bayern,,,,Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
Hizo free kicks zake zimenifanya nimkumbuke Juninho Pernambucano wa kipindi kile Lyon inasumbua miaka 7 mfululizo kwenye ligi kuu ya Ufaransa.Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.